ozigizaga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 701
- 1,703
mafyulisiWasafwa wanaita mafyolisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mafyulisiWasafwa wanaita mafyolisi
MakusuView attachment 2790098
Kwetu kule tunayaita MASUKU, lakini kwa watani zangu wa kujinyonga yanaitwa MAKUSU
Iringa: Ajinyonga kisa ugumu wa maisha
Mkaziwa Ilula Matalawe Mkoani Iringa, Abel Zakayo Mlasu (26) ambaye pia ni Mwigizaji wa Filamu amekutwa amejinyonga kwa kutumia mtandio katika paa la nyumba ambayo alikuwa akiishi yeye na Mama yake huku chanzo kikidai ni ugumu wa maisha uliompelekea kuwa na msongo wa mawazo, Uongozi Mtaa...www.jamiiforums.com
Ule ukwaju ulikua unaota kwenye michongoma ndani una vitunda vyeusi... Maeneo ya msasani na mikocheni yalikua mengi sana miaka ya 90 mpaka 2000...View attachment 2790121
Hii kitu hii imepotea sana hata ukienda kijijini siku hizi adimuMatando
NdowiroKuna matunda ya asili mengine yanapatikana kwenye maeneo fulani tu, unakuta umekua ukiyala na baada ya kuondoka hapo kwenda sehemu nyingine huyaoni tena.
Leo nimekaa nimeyakumbuka matunda ya kwetu yanaitwa ndati, sema siwezi yapata hadi nirudi kwetu, ila ili kupoza moyo nitaenda sokoni kutafuta mengine ambayo nilikuwa nakula utotoni yanaitwa ntalali au sungwi kama wengi wanavyoyaita maana huku nilipo yanapatikana.
Kwa bahati mbaya picha ya ndati sina ningewaonesha.
View attachment 2790027
Picha ya sungwi au ntalali kwa msaada wa mtandao
Huko mbeya zinaitwa MBULA km sijakosea... huu mzigo ni adimu sanaView attachment 2790098
Kwetu kule tunayaita MASUKU, lakini kwa watani zangu wa kujinyonga yanaitwa MAKUSU
Iringa: Ajinyonga kisa ugumu wa maisha
Mkaziwa Ilula Matalawe Mkoani Iringa, Abel Zakayo Mlasu (26) ambaye pia ni Mwigizaji wa Filamu amekutwa amejinyonga kwa kutumia mtandio katika paa la nyumba ambayo alikuwa akiishi yeye na Mama yake huku chanzo kikidai ni ugumu wa maisha uliompelekea kuwa na msongo wa mawazo, Uongozi Mtaa...www.jamiiforums.com
Hizo za juu nazi-miss sana, nadhani yatakua yamepotea kabisa kwa sababu ya kukata miti ya mbao
YeeessKomamanga
Haya niliyala sumbawanga ni mazuri atari[emoji847]View attachment 2790098
Kwetu kule tunayaita MASUKU, lakini kwa watani zangu wa kujinyonga yanaitwa MAKUSU
Iringa: Ajinyonga kisa ugumu wa maisha
Mkaziwa Ilula Matalawe Mkoani Iringa, Abel Zakayo Mlasu (26) ambaye pia ni Mwigizaji wa Filamu amekutwa amejinyonga kwa kutumia mtandio katika paa la nyumba ambayo alikuwa akiishi yeye na Mama yake huku chanzo kikidai ni ugumu wa maisha uliompelekea kuwa na msongo wa mawazo, Uongozi Mtaa...www.jamiiforums.com
JangauaKuna matunda ya asili mengine yanapatikana kwenye maeneo fulani tu, unakuta umekua ukiyala na baada ya kuondoka hapo kwenda sehemu nyingine huyaoni tena.
Leo nimekaa nimeyakumbuka matunda ya kwetu yanaitwa ndati, sema siwezi yapata hadi nirudi kwetu, ila ili kupoza moyo nitaenda sokoni kutafuta mengine ambayo nilikuwa nakula utotoni yanaitwa ntalali au sungwi kama wengi wanavyoyaita maana huku nilipo yanapatikana.
Kwa bahati mbaya picha ya ndati sina ningewaonesha.
View attachment 2790027
Picha ya sungwi au ntalali kwa msaada wa mtandao