Tunda gani la asili umelikumbuka na halipatikani ulipo kwa sasa?

Tunda gani la asili umelikumbuka na halipatikani ulipo kwa sasa?

Wasafwa wanaita mafyolisi
mafyulisi
20230128_123817.jpg
 
Magama zamani sana kwa bibi Ifakara kipindi cha kung'olea mpunga.
 
View attachment 2790098
Kwetu kule tunayaita MASUKU, lakini kwa watani zangu wa kujinyonga yanaitwa MAKUSU

Makusu
 
Ngubaru jmn zamani sana popote zilipo ngubaru shikamoooo
 
Kuna matunda ya asili mengine yanapatikana kwenye maeneo fulani tu, unakuta umekua ukiyala na baada ya kuondoka hapo kwenda sehemu nyingine huyaoni tena.

Leo nimekaa nimeyakumbuka matunda ya kwetu yanaitwa ndati, sema siwezi yapata hadi nirudi kwetu, ila ili kupoza moyo nitaenda sokoni kutafuta mengine ambayo nilikuwa nakula utotoni yanaitwa ntalali au sungwi kama wengi wanavyoyaita maana huku nilipo yanapatikana.

Kwa bahati mbaya picha ya ndati sina ningewaonesha.

View attachment 2790027
Picha ya sungwi au ntalali kwa msaada wa mtandao
Ndowiro
 
Amambolesi ni tunda adimu... Cjawah kuliona kokote zaidi ya Tukuyu. Zaidi ya miaka ishirini sijawahi kuliona hili tunda
 
View attachment 2790098
Kwetu kule tunayaita MASUKU, lakini kwa watani zangu wa kujinyonga yanaitwa MAKUSU

Huko mbeya zinaitwa MBULA km sijakosea... huu mzigo ni adimu sana
 
View attachment 2790098
Kwetu kule tunayaita MASUKU, lakini kwa watani zangu wa kujinyonga yanaitwa MAKUSU

Haya niliyala sumbawanga ni mazuri atari[emoji847]
 
Kuna matunda ya asili mengine yanapatikana kwenye maeneo fulani tu, unakuta umekua ukiyala na baada ya kuondoka hapo kwenda sehemu nyingine huyaoni tena.

Leo nimekaa nimeyakumbuka matunda ya kwetu yanaitwa ndati, sema siwezi yapata hadi nirudi kwetu, ila ili kupoza moyo nitaenda sokoni kutafuta mengine ambayo nilikuwa nakula utotoni yanaitwa ntalali au sungwi kama wengi wanavyoyaita maana huku nilipo yanapatikana.

Kwa bahati mbaya picha ya ndati sina ningewaonesha.

View attachment 2790027
Picha ya sungwi au ntalali kwa msaada wa mtandao
Jangaua
 
Back
Top Bottom