Tunda gani la asili umelikumbuka na halipatikani ulipo kwa sasa?

Kuna tunda wakazi wa kanda ya ziwa victoria wanaita limbe, kama bado yanapatikana tufahamishane nije ninunue hata mbagu maana sijui kama yana jina jingine niyatafute maana ilo jina hata mtandaoni sipati picha
nadhani ni matango pori hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…