Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaah!! Nimesoma hiyo Verse 22. Kumbe Adam na Hawa wasingetolewa mapema Bustanini wangekula tunda LA Uzima.!!! Ina maana Leo tungekuwa tunaongea mengineTunda lililoliwa na bibi yetu na babu yetu hatulijui mpaka sasa na halipo duniani tena.
Hata lile la uzima Mungu alisema; tazama huyu mtu ameshakuwa........ Soma mstari wa 22 hapo View attachment 1638498
Leo hii tungekuwa kwenye meza ya mazungumzo na Mungu namna tutakavyogawana ulimwengu kibabeD
Daaaah!! Nimesoma hiyo Verse 22. Kumbe Adam na Hawa wasingetolewa mapema Bustanini wangekula tunda LA Uzima.!!! Ina maana Leo tungekuwa tunaongea mengine
Ila mimi nauza mche wake sh 2000😊Komamanga pia lianuzwa elfu tano moja Dar
Wewe hupitwiIla mimi nauza mche wake sh 2000😊
Unajua!!Ila mimi nauza mche wake sh 2000😊
😂😂 mkuu mbona unanishushuaWewe hupitwi
basi mkuu sichanganyi tena.😂😂.ila huduma ya miche ya matunda ipo badoUnajua!!
Usinichanganyie Gongo Rubisi Na Kabugumo
😁😂😀😅😄😃😐
Adam akamjua mkewe kwa mara ya pili
Nadhani hata huku duniani tungeheshimiana wote tofauti na sasa MTU anaweza kujiamulia kukusweka ndani tu.Leo hii tungekuwa kwenye meza ya mazungumzo na Mungu namna tutakavyogawana ulimwengu kibabe
Lugha ya Biblia ikiwa na maana kuunganisha vikojoleoIna maana alikuwa hamjui mkewe muda wote ule??
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kivuruge huyoUnavuruga na wewe, ni naongelea tunda unaleta habari za miche
Lugha ya Biblia ikiwa na maana kuunganisha vikojoleo
Acha longolongoSasa kama lugha ya Biblia iko hivyo mbona mnashindwa kutafsiri kibiblia maana ya tunda alilokula Adam???--- nyinyi mnadhani alikula tunda in literal sense?!!!.
Mbona Yesu kisha toa maana ya tunda na mti kibibilia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na mimi nauza miche ya mizeituni,sh 2000/=Nipo SUA.
karibu mkuu nikuhudumie[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]