Tunda wewe ndio Cleopatra wa Tanzania

Tunda wewe ndio Cleopatra wa Tanzania

Labda Cleopatra wa ukoo wenu mkuu. Binti tumiguu ka fito na chura hoiii bin taaaban ndo unamvika uCleopatra? Are you serious? Huyu akiwa Cleopatra huyu binti hapa chini mwenye uso wa kitoto, mamiguu ya bia, chura asiyetulia na anayekuja kwa kasi sana hapa Bongo tumwiteje? Au hujui wasifu na maana ya Cleopatra? Aaaargh !!!
View attachment 402230
HApooo sawaaa kabisa
 
wabongo watakuwa wanahisi cleopatra alikuwa kama Masogange, bonge la churaaa. kuna uwezekano mkubwa alikuwa flat screen kama Tuna.
 
Huyu kumbi kukbi anazidiwa hadi na kile kitoto cha moro sec cha kutoka Arusha. Kile ukikipa iphone ukikipiga bata moja ya nguvu na shopping moja tu basi kitakimbiza wadudu wote hao
 
bcf1909f6536922a6a28fbf374a0803b.jpg

Lakini mbona hana CHURA?,uzuri wa nyumba ni choo buana
 
1477634021959.png
1477634028406.png
hapa kweli hance mtanashati ndio brigedia naona umekataa ila mm nmeamua kukufanyia ushushushu sasa hapa kwa juu ulmquote mtu kwa jina la brigedia na ukamuambia aweke namba ya simu

baadae kuna mtu akakuquote wewe ila maneno ni yale yale ila jina limekuwa hance mtanashati .. naona unaakaunt nyingne ya hance mtanashati sr nayo umepgwa ban
 
Back
Top Bottom