Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Ucku wa deni haukawii kukucha mkuu, muda utaongeaAcha kuweweseka chawa
HayaUcku wa deni haukawii kukucha mkuu, muda utaongea
List of tetesi kutoka chadema ni nyingi sana, kila mtu amepenyezewantaarifaWasalaam
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa chadema kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na ccm. Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Aende wammalize kabisa. Aende kwani hana kumbukumbu ya waliyomtendea? Lissu si Msigwa chawa wa ajabu sana na mnafiki muoongo na fisaadi asiye na kumbukumbu.Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
1. Kwamba atapokea hongo?Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Ujue ukubwa wa Lissu ndio maana kivuli chake kinawanyima usingiziYani nyie watu mnashidaa sanaa,kila siku mnamuongeleaa Lissu,mara kahamia wapi sijui.
Mbona mnaweweseka kiasi ichooo?.
lisu hawezi kukubalika ccm.Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
ChaiWasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.