Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemaje mkuuMkuu hii nafasi ya mwanaharakati huru ukienda Google ina utata sana
Aiseeee mna nyege mbaya Sana sana!!!Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Chadema inaenda kuwa TLP soon 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Huyu Lissu anawaletea maccm jinamizi sana na mwakani atawafanya kitu mbaya sana.Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
CHADEMA ni zaidi ya mtu, regardless his/her influential!Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
🤣🤣kupambana na mwambaAkihamia ccm mimi nahamia chadema
Ikiwa hivyo atakuwa JPM alikuwa sawa hakuna hukumu juu yake.Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Tayar umefikaUcku wa deni haukawii kukucha mkuu, muda utaongea
Inaleta picha na video za Cyprian Musiba😞Inasemaje mkuu
Mission completelisu hawezi kukubalika ccm.
domo lake chafu
1. Kwamba atapokea hongo?
2. Kwamba jana alikuwa anawachora cdm?
3. Kuwa alikataa hongo ya Abdul lkn sasa amefika malipo?
Naweka akiba ya maneno hadi muda wa press ufike.
Ni rahisi Mbowe kuachia uenyekiti lkn sio Lissu kuingia ccm
Asipohama hiyo aibu utaificha wapi. Tutadharau mada zako na tutashindwa kuzisomaWasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Umbea tu huu.Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Naunga Mkono Hoja (Except Lissu na Heche) ila generally hao wote ni Pwagu na Pwaguzi!CCM na CHADEMA ni tapeli na mkora kwahiyo lolote ni sawa tu.