Tetesi: Tundu Antipas Lissu kuicha CHADEMA na kuhamia CCM 12/12/2024

Tetesi: Tundu Antipas Lissu kuicha CHADEMA na kuhamia CCM 12/12/2024

Wasalaam,

Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.

Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
JF posts kama hizi zinaifanya JF ionekane kama magazeti ya udaku. Msikubali ujinga kama huu kuandikwa kwenye platform yenu! Itawaharibia. Andika credible things likely to be so!
 
Wasalaam,

Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.

Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Japo kuwa sio vizuri kuwasemea wanasiasa, huu ni uwongo 10000%
 
Wasalaam,

Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.

Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Mkuu kwa siasa za Tanzania chochote chaweza kutokea, yetu macho!!
 
LIssu hawezi kuhamia CCM kamwe, na pia hawezi kuhamia ACT, na hawezi kuanzisha chama kipya kwa sababu serikali haitoruhusu hilo, kwasasa siasa, harakati na misimamo ya Lissu inaweza kuwa accommodated Chadema pekee, atapambana humo humo, akishindwa atakuwa mwanaharakati huru, haitokaa itokee ahamie mbogamboga FC.
 
LIssu hawezi kuhamia CCM kamwe, na pia hawezi kuhamia ACT, na hawezi kuanzisha chama kipya kwa sababu serikali haitoruhusu hilo, kwasasa siasa, harakati na misimamo ya Lissu inaweza kuwa accommodated Chadema pekee, atapambana humo humo, akishindwa atakuwa mwanaharakati huru, haitokaa itokee ahamie mbogamboga FC.
akishindwa atakuwa mwanaharakati huru, haitokaa itokee ahamie mbogamboga FC.📌🔨
 
Back
Top Bottom