Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Tuone itakuwajeTuko pamoja Mkuu, isipokua eneo Moja tu, usimwamini sana mwanasiasa yeyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuone itakuwajeTuko pamoja Mkuu, isipokua eneo Moja tu, usimwamini sana mwanasiasa yeyote.
Na akifanya hivyo ndio atakuja Kujua kumbe hakuwa mkubwa kuliko Chadema,amuulize Fulani na kina Fulani 🤔Sawa mkuu
NaamNaunga Mkono Hoja (Except Lissu na Heche) ila generally hao wote ni Pwagu na Pwaguzi!
kesho ni leoKesho kwani mbali 😂
Yeah sureNa akifanya hivyo ndio atakuja Kujua kumbe hakuwa mkubwa kuliko Chadema,amuulize Fulani na kina Fulani 🤔
Kuliko ahamie ccm nimjuavyo lisu ataachana na siasa kabisaWasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Hebu rudia tenaWasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Unajisikiaje kuwa mpumbavu mkuu katika jamii wakati huu?Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Chanzo chako cha taarifa kilikuwa sahihi kwa kiasi gani?Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Halafu anajiita the princess, si bora angejiita subira mwanahiyana.Asipohama hiyo aibu utaificha wapi. Tutadharau mada zako na tutashindwa kuzisoma