JF posts kama hizi zinaifanya JF ionekane kama magazeti ya udaku. Msikubali ujinga kama huu kuandikwa kwenye platform yenu! Itawaharibia. Andika credible things likely to be so!Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
siyo issue ya kesi zake na Tigo kubadiri majinaKesho anatangaza kugombe uenyekiti wa chama Taifa Njooni na lingine.
Tofauti na hapo, anaweza kumlipua Mwenyekiti wenu halafu tusikie mtasemaje.
Siongezi hata nukta.CCM na CHADEMA ni tapeli na mkora kwahiyo lolote ni sawa tu.
Japo kuwa sio vizuri kuwasemea wanasiasa, huu ni uwongo 10000%Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Na ni ngumu kutokea, japo ccm wanamtamani Sana kwa 500%lisu hawezi kukubalika ccm.
domo lake chafu
Kwa sasa kwa upande wa upinzani hakuna mwanasiasa anayeheshimika kwa unyoofu kama lissu, upende usipende, huo ndo ukweliLissu hana bei.
Siasa ni dynamic, upepo umebadilika, wanachadema wengi kwa sasa wanamtaka mabadiliko ya uongozi
π€£ π€£ π€£CCM na CHADEMA ni tapeli na mkora kwahiyo lolote ni sawa tu.
Mkuu kwa siasa za Tanzania chochote chaweza kutokea, yetu macho!!Wasalaam,
Taarifa nilioipata punde ni kwamba makamu mwenyekiti wa CHADEMA kesho anatarajiwa kutoa hotuba nzito na kisha kujiunga na CCM.
Haijaeleweka kama kalamba asali au ni hiari yake.
Kwahiyo anaenda CCM at zero cost!Lissu hana bei.
Kwenda lissu ccm ni ndoto za mchana kweupeKwahiyo anaenda CCM at zero cost!
Tangu mwaka uanze zinakaribia 200List of tetesi kutoka chadema ni nyingi sana, kila mtu amepenyezewantaarifa
akishindwa atakuwa mwanaharakati huru, haitokaa itokee ahamie mbogamboga FC.ππ¨LIssu hawezi kuhamia CCM kamwe, na pia hawezi kuhamia ACT, na hawezi kuanzisha chama kipya kwa sababu serikali haitoruhusu hilo, kwasasa siasa, harakati na misimamo ya Lissu inaweza kuwa accommodated Chadema pekee, atapambana humo humo, akishindwa atakuwa mwanaharakati huru, haitokaa itokee ahamie mbogamboga FC.
Mkuu hii nafasi ya mwanaharakati huru ukienda Google ina utata sanaakishindwa atakuwa mwanaharakati huru, haitokaa itokee ahamie mbogamboga FC.ππ¨