Tundu Antipas Lissu ni nani hasa?

Kwa hiyo kupiga one ndo huwezi kuwa na dish liloyumba? Ndugu yako Lisu dish lake haliko sawa! Sijui huaa mnamshabikia kwa nini? Kwanza yule ni shoga! Eti ni mgombea wenu wa Urasis hahahah!

Ndio mlichobakiza. Nimeuliza dishi liyumbe halafu upige division 1 A level na O level, upige Hons UDSM upige Distinction Masters kule Warwick? Yani uwe chizi halafu upate distinction?. Tuache uongo.
 
Kwa hiyo kupiga one ndo huwezi kuwa na dish liloyumba? Ndugu yako Lisu dish lake haliko sawa! Sijui huaa mnamshabikia kwa nini? Kwanza yule ni shoga! Eti ni mgombea wenu wa Urasis hahahah!

Lissu tangu mshindwe kumuua , issue ya ushoga mnayotumia kumpakazia haina nguvu, mnaonekana watu mliokata tamaa. Mwingira alimwita Lissu Mshindi watu wakabeza. Leo aliyemlima risasi kafa kifo Cha aibu na maumivu huku aliyemfukuza ubunge akiondolewa bila huruma.

Wewe endelea kumwita shoga ukitegemea utafanikiwa , yatakayokukuta utajuta Kama wenzako hao wawili.
 
Dung'unyi ni kijiji cha ndani bushi kbs Singida? [emoji849]
Mkoa wa Singida ni katika mikoa 3 ya Tanzania ambayo ni bushi kabisa, bado kuna bushmen Wataturu!. Mingine ni Dodoma kuna Wamang'ati na Manyara kuna Wahadzabe!. Kwa kule shule, kijiji mwanafunzi alichotoka hakimati ni mkoa, Ilboru ya enzi hizo, Olevel ilipokea watoto wa Usukumani, Singida na makabila ya wafugaji. A level wenye vipaji.
P
 
Kwa huyo Mwingira huyo mzinzi anayejificha kwenye madhabahu ndo nani? Nani amekwambia mafanikio yangu yako chini ya mwanadamu? Wewe na mashoga wenzako huwa mnamtukana Samia na Magufuli hapa kila siku ni poa tu! Ila huyo jizi na shoga wenu mnaona nongwa! Stupid!
 
Ahsante schoolmate ulila Bweni gani mkuu
 
Dungunyi ilipo seminary ya dungunyi... ni kijiji kina pakana na Ntuntu na Lighwa kuelekea kondoa na babati...

Ila Dungunyi ipo hapo barabarani (barabara kuu kuelekea Dodoma/Mwanza... ni Km chache kufika Singida mjini
Ndio nikamshangaa jamaa pascal kusema eti lissu katokea Singida ndan ndan huko bush[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwenye CV yake atuwekee ili tuichambue kwa kina isije kuwa ndio walewale akina PK na M7

2025 siyo mbali jamani na alitakalo mmarekani huwa

2020 Tundu Lissu alikuja " kibabe" sana kugombea Urais wa JMT



Jumaa kareem!
Kuna watu walipanga kumtungua 2020 pale uwanja w andege lakini Jamaa alikuja Majestic sana hadi wakaogopa.
 
Ukweli ni kwamba nje ya mitutu na madola hakuna anayeweza kupambana na Lissu akashinda.
 
Mwenye CV yake atuwekee ili tuichambue kwa kina isije kuwa ndio walewale akina PK na M7

2025 siyo mbali jamani na alitakalo mmarekani huwa

2020 Tundu Lissu alikuja " kibabe" sana kugombea Urais wa JMT



Jumaa kareem!
Na baada ya uchaguzi, wakamchukua mtu wao, wakamuhifadhi, halafu wakamsindikiza airport kwa ulinzi wao
 
Uongo haufai. Tangu mshindwe kumuua hamna amani mioyoni mwenu.
Lete hoja acha Vioja....

Unakimbilia kwenye tukio badala ya kujibu niliyoyasema mimi!

Jamaa yenu pamoja na usomi wake,ukweli ni kwamba Dish lake limeyumba!

Kuna kitu huwa hakiko sawa kwenue Medula yake.

Na sasa anaumwa Maradhi ya "Magu-Phobia"

Hata asipokuwa amesemeshwa,utakuta anatamka neno "MAGUFULI" bila kujielewa kwamba amelitamka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…