Gari Moshi
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 680
- 421
Kwani mnaogopa nini? Mbona mnaogopa sana kuiacha Ikulu Kuna biashara gani kule miaka yote mliyokaa Ikulu hamjatimiza malengo tu?TUJITEGEMEE watanzania kwa kila jambo linalotuhusu kulifanyia kazi. Utegemezi haulipi!
Mnataka kumuweka madarakani Lissu kwa msaada wa vitisho vya wabaya wetu.Je. Hao wabaya wetu mtawalipa nini!?