Uchaguzi 2020 Tundu Antiphas Lissu afanya mkutano Tunduru

Uchaguzi 2020 Tundu Antiphas Lissu afanya mkutano Tunduru

TUJITEGEMEE watanzania kwa kila jambo linalotuhusu kulifanyia kazi. Utegemezi haulipi!

Mnataka kumuweka madarakani Lissu kwa msaada wa vitisho vya wabaya wetu.Je. Hao wabaya wetu mtawalipa nini!?
Kwani mnaogopa nini? Mbona mnaogopa sana kuiacha Ikulu Kuna biashara gani kule miaka yote mliyokaa Ikulu hamjatimiza malengo tu?
 
CHADEMA msione shida kuwaambia watanzania kwenye matangazo yenu kwa Lissu ni wa Mwisho. Watanzania hatuna haja ya kuchagua vitu vya mwisho. TUZO anapewa mtu wa kwanza Dkt Magufuli. Watanzania tunakwenda na mtu wa kwanza.
Aliyemuweka Wa mwisho ni nani?.
 
CHADEMA msione shida kuwaambia watanzania kwenye matangazo yenu kwa Lissu ni wa Mwisho. Watanzania hatuna haja ya kuchagua vitu vya mwisho. TUZO anapewa mtu wa kwanza Dkt Magufuli. Watanzania tunakwenda na mtu wa kwanza.

ulishawahi kufanya IQ Test??
 
Kuteka, kutesa, kuua na kupoteza watu ni dalili ya utawala ulio mufilisi ambao kwa karne hii hautufai.
Ktk yote haya ndiyo yametibua nyongo za watanzania. Kwamba imefika mqhali rais anageuka kuwa mtesaji na muuwaji watu wake!!!! Lazima ccm ichezee kichapo wiki ijayo.
 
Pole sana, Mkuu. Sikujua kama na wewe umesombwa na ngembe za watafuta nongwa!

Mkuu ifikirie Tanzania kwa mara nyingine endapo kama bado una nafasi ndani ya moyo wako wa kutakia mema watanzania wote na upo tayari kuiona Tanzania iliyo imara katika nyanja zote na ya kiamendeleo kwa watanzania wote.

Mkuu, Lissu siyo mgombe mwenye kututakia mema sisi watanzania kwa nyakati hizi. Matendo yake na matamshi yake yana dhibitisha haya.
Unamaanisha nini
 
Pole sana, Mkuu. Sikujua kama na wewe umesombwa na ngembe za watafuta nongwa!

Mkuu ifikirie Tanzania kwa mara nyingine endapo kama bado una nafasi ndani ya moyo wako wa kutakia mema watanzania wote na upo tayari kuiona Tanzania iliyo imara katika nyanja zote na ya kiamendeleo kwa watanzania wote.

Mkuu, Lissu siyo mgombe mwenye kututakia mema sisi watanzania kwa nyakati hizi. Matendo yake na matamshi yake yana dhibitisha haya.
Huna jinsi bwashee roli lililobeba kura za uwongo limekamatwa ..Siri zinatoka ndani ya CCM
 
Back
Top Bottom