Uchaguzi 2020 Tundu Antiphas Lissu afanya mkutano Tunduru

Uchaguzi 2020 Tundu Antiphas Lissu afanya mkutano Tunduru

Kazi imeisha hiyo
Ni hivi...kwa miaka mitano uwanja ni wako peke yako huku wapambe wakikupigia vigelegele wakidai hakuna kama wewe. Ghafla ukiwa na hakika huna mpinzani, anatokea mtu na katika muda mfupi wa miezi miwili, historia uliyojijengea unashuhudia ikifutika mbele ya macho yako!
 
TUJITEGEMEE watanzania kwa kila jambo linalotuhusu kulifanyia kazi. Utegemezi haulipi!

Mnataka kumuweka madarakani Lissu kwa msaada wa vitisho vya wabaya wetu.Je. Hao wabaya wetu mtawalipa nini!?

Akili za mavi . Nani huyo mbaya wetu. CCM akili hakuna
 
CHADEMA msione shida kuwaambia watanzania kwenye matangazo yenu kwa Lissu ni wa Mwisho. Watanzania hatuna haja ya kuchagua vitu vya mwisho. TUZO anapewa mtu wa kwanza Dkt Magufuli. Watanzania tunakwenda na mtu wa kwanza.
Akili za kijinga Kama za polepole
 
Pole sana, Mkuu. Sikujua kama na wewe umesombwa na ngembe za watafuta nongwa!

Mkuu ifikirie Tanzania kwa mara nyingine endapo kama bado una nafasi ndani ya moyo wako wa kutakia mema watanzania wote na upo tayari kuiona Tanzania iliyo imara katika nyanja zote na ya kiamendeleo kwa watanzania wote.

Mkuu, Lissu siyo mgombe mwenye kututakia mema sisi watanzania kwa nyakati hizi. Matendo yake na matamshi yake yana dhibitisha haya.
Kachukue elfu saba yako, we lofa!!
 
CCM upooooooooooo!

Mkicheza na uchaguzi huu mtaishia the Hague
The Hague isiwapumbaze sana. Hakuna anayeweza muweka Tl madarakani zaidi ya raia. Jeshi linaangalia raia, wakiwa wengi sana wanamtaka kwa kiwango cha kuwa tayari kumpigania utaona ilivyo rahisi kuingia ikulu. Kinyume na hapo utashuhudia Tl akisema nchi inahitaji maridhiano, watu wana hasira n.k
 
1603608832823.png


1603608863371.png
 
Ni hivi...kwa miaka mitano uwanja ni wako peke yako huku wapambe wakikupigia vigelegele wakidai hakuna kama wewe. Ghafla ukiwa na hakika huna mpinzani, anatokea mtu na katika muda mfupi wa miezi miwili, historia uliyojijengea unashuhudia ikifutika mbele ya macho yako!
Da haya maneno yako yanakatisha tamaa kabisa.
Huo Ni ukweli ulio mchungu.
Lissu Ni Kama Special Force.
Ameyarudisha nyuma Majeshi ya adui peke yake.
 
Back
Top Bottom