Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Hajawahi zwazwa huyuulishawahi kufanya IQ Test??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajawahi zwazwa huyuulishawahi kufanya IQ Test??
Mtandao gani wa kihuni??Wadau pigeni kura huku Lissu anashindwa 👇
![]()
Mtandao gani huo?? Wa Diwani
Hahahahah kumbe umeustukiaMtandao gani huo?? Wa Diwani
Ni hivi...kwa miaka mitano uwanja ni wako peke yako huku wapambe wakikupigia vigelegele wakidai hakuna kama wewe. Ghafla ukiwa na hakika huna mpinzani, anatokea mtu na katika muda mfupi wa miezi miwili, historia uliyojijengea unashuhudia ikifutika mbele ya macho yako!Kazi imeisha hiyo
Yeye ameelewa!Unamaanisha nini
Uhuni huo huo ndiyo majibu yakitoka unaambiwa meko atashinda kwa asilimia 99.9, wewe ingia mchague nguri then rudi.Mtandao gani wa kihuni??
TUJITEGEMEE watanzania kwa kila jambo linalotuhusu kulifanyia kazi. Utegemezi haulipi!
Mnataka kumuweka madarakani Lissu kwa msaada wa vitisho vya wabaya wetu.Je. Hao wabaya wetu mtawalipa nini!?
Ccm ya polepole ni washamba mno kumtanguliza Salum badala ya Tundu
Nawaonea huruma wapuuzi wanaohangaika wakijitahidi kuzuia Tsunami kwa mikono, Mh. Tundu Antiphas Lissu hamtamweza, Ni YEYE mpende msipende na ole wenu msipochukua tahadhari, mtasombwa na maji. Tunduma mpoooo!
Akili za kijinga Kama za polepoleCHADEMA msione shida kuwaambia watanzania kwenye matangazo yenu kwa Lissu ni wa Mwisho. Watanzania hatuna haja ya kuchagua vitu vya mwisho. TUZO anapewa mtu wa kwanza Dkt Magufuli. Watanzania tunakwenda na mtu wa kwanza.
Kachukue elfu saba yako, we lofa!!Pole sana, Mkuu. Sikujua kama na wewe umesombwa na ngembe za watafuta nongwa!
Mkuu ifikirie Tanzania kwa mara nyingine endapo kama bado una nafasi ndani ya moyo wako wa kutakia mema watanzania wote na upo tayari kuiona Tanzania iliyo imara katika nyanja zote na ya kiamendeleo kwa watanzania wote.
Mkuu, Lissu siyo mgombe mwenye kututakia mema sisi watanzania kwa nyakati hizi. Matendo yake na matamshi yake yana dhibitisha haya.
The Hague isiwapumbaze sana. Hakuna anayeweza muweka Tl madarakani zaidi ya raia. Jeshi linaangalia raia, wakiwa wengi sana wanamtaka kwa kiwango cha kuwa tayari kumpigania utaona ilivyo rahisi kuingia ikulu. Kinyume na hapo utashuhudia Tl akisema nchi inahitaji maridhiano, watu wana hasira n.kCCM upooooooooooo!
Mkicheza na uchaguzi huu mtaishia the Hague
Da haya maneno yako yanakatisha tamaa kabisa.Ni hivi...kwa miaka mitano uwanja ni wako peke yako huku wapambe wakikupigia vigelegele wakidai hakuna kama wewe. Ghafla ukiwa na hakika huna mpinzani, anatokea mtu na katika muda mfupi wa miezi miwili, historia uliyojijengea unashuhudia ikifutika mbele ya macho yako!
Kila mtu amemkataa lissu maskini