Gari Moshi
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 680
- 421
Kwani mnaogopa nini? Mbona mnaogopa sana kuiacha Ikulu Kuna biashara gani kule miaka yote mliyokaa Ikulu hamjatimiza malengo tu?TUJITEGEMEE watanzania kwa kila jambo linalotuhusu kulifanyia kazi. Utegemezi haulipi!
Mnataka kumuweka madarakani Lissu kwa msaada wa vitisho vya wabaya wetu.Je. Hao wabaya wetu mtawalipa nini!?
" kila mtu" hacha hayo mambo yako ya kiujulmaa jumla.Kila mtu amemkataa lissu maskini
kweli usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
Ole wenu waalimu msipo mchaguaHuyu mwenzetu
-anatuuwa ndugu zake.
-anatuteka
-anatufilisi
-anatutengenezea kesi za uwongo
-anatutisha
Hakika tumemchoka sana
Ole wenu waalimu msipo mchagua mpenda sifa, na kuabudiwaHuyu mwenzetu
-anatuuwa ndugu zake.
-anatuteka
-anatufilisi
-anatutengenezea kesi za uwongo
-anatutisha
Hakika tumemchoka sana
Mkuu nashona suti ya hafla ya kuapishwa mh lissuLissu Rais ajaye
Umesahau kulawitiHuyu mwenzetu
-anatuuwa ndugu zake.
-anatuteka
-anatufilisi
-anatutengenezea kesi za uwongo
-anatutisha
Hakika tumemchoka sana
Nimeshangaa sana kusikia kuwa tume iliongeza muda Wa kuapisha mawakala kwa sababu ccm haikupata mawakala Wa kutosha,ikabidi waongeze muda.CCM upooooooooooo!
Mkicheza na uchaguzi huu mtaishia the Hague
uko sahihiMkuu nashona suti ya hafla ya kuapishwa mh lissu
Aliyemuweka Wa mwisho ni nani?.CHADEMA msione shida kuwaambia watanzania kwenye matangazo yenu kwa Lissu ni wa Mwisho. Watanzania hatuna haja ya kuchagua vitu vya mwisho. TUZO anapewa mtu wa kwanza Dkt Magufuli. Watanzania tunakwenda na mtu wa kwanza.
CHADEMA msione shida kuwaambia watanzania kwenye matangazo yenu kwa Lissu ni wa Mwisho. Watanzania hatuna haja ya kuchagua vitu vya mwisho. TUZO anapewa mtu wa kwanza Dkt Magufuli. Watanzania tunakwenda na mtu wa kwanza.
Ktk yote haya ndiyo yametibua nyongo za watanzania. Kwamba imefika mqhali rais anageuka kuwa mtesaji na muuwaji watu wake!!!! Lazima ccm ichezee kichapo wiki ijayo.Kuteka, kutesa, kuua na kupoteza watu ni dalili ya utawala ulio mufilisi ambao kwa karne hii hautufai.
Hehe Tundu Lisu amewekwa mwisho kabisa,Akililia wembe mpe umkate pale pale
Akililia moto mpe umchome pale pale.
CCM wanalilia vyote, watakatwa na watachomwa Oktoba 28, 2020
View attachment 1610824
🤡Kila mtu amemkataa lissu maskini
kweli usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
Hata mm imenipa burudani sana hiyo kitu.Nimeshangaa sana kusikia kuwa tume iliongeza muda Wa kuapisha mawakala kwa sababu ccm haikupata mawakala Wa kutosha,ikabidi waongeze muda.
Unamaanisha niniPole sana, Mkuu. Sikujua kama na wewe umesombwa na ngembe za watafuta nongwa!
Mkuu ifikirie Tanzania kwa mara nyingine endapo kama bado una nafasi ndani ya moyo wako wa kutakia mema watanzania wote na upo tayari kuiona Tanzania iliyo imara katika nyanja zote na ya kiamendeleo kwa watanzania wote.
Mkuu, Lissu siyo mgombe mwenye kututakia mema sisi watanzania kwa nyakati hizi. Matendo yake na matamshi yake yana dhibitisha haya.
Kweli tusiishie kupiga domo tu hapa.Tukapige kura sasa wakuu
Huna jinsi bwashee roli lililobeba kura za uwongo limekamatwa ..Siri zinatoka ndani ya CCMPole sana, Mkuu. Sikujua kama na wewe umesombwa na ngembe za watafuta nongwa!
Mkuu ifikirie Tanzania kwa mara nyingine endapo kama bado una nafasi ndani ya moyo wako wa kutakia mema watanzania wote na upo tayari kuiona Tanzania iliyo imara katika nyanja zote na ya kiamendeleo kwa watanzania wote.
Mkuu, Lissu siyo mgombe mwenye kututakia mema sisi watanzania kwa nyakati hizi. Matendo yake na matamshi yake yana dhibitisha haya.
Kazi imeisha hiyo
Nawaonea huruma wapuuzi wanaohangaika wakijitahidi kuzuia Tsunami kwa mikono, Mh. Tundu Antiphas Lissu hamtamweza, Ni YEYE mpende msipende na ole wenu msipochukua tahadhari, mtasombwa na maji. Tunduma mpoooo!