johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lisu amesema Uchaguzi wa 2019 hakuna Mtu aliuawa
" hayati Magufuli alifutafuta tu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa lakini hakuuwa Mtu hata Mmoja"
Hakika Shujaa Magufuli 🌹 alisingiziwa mengi
Ameandika John Pambalu Ukurasani X
Mlale unono 😀