LGE2024 Tundu Lissu: 2019 Hayati Magufuli hakuua Mtu hata Mmoja alifutafuta tu Uchaguzi, tulikosea kumdhania ni muuaji!

LGE2024 Tundu Lissu: 2019 Hayati Magufuli hakuua Mtu hata Mmoja alifutafuta tu Uchaguzi, tulikosea kumdhania ni muuaji!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Lissu naye apunguze kuongea Sana. Siku moja tu kabdilisha maneno kwamba Magufuli hakuna muuaji , anasahau akina saa nane walipotea kwenye kipindi Cha nani?. Kesho akina dikteta mengine zaidi ya huyu amam utasema mama sio muuaji?. Lissu huwa anaongea anasahau Kuna kesho.
 
..anachosema Lissu ni kwamba uchaguzi wa 2019 haukufanyika hivyo hakukuwa na mauaji.

..lakini Lissu amesikika mara nyingi akisema marisasi aliyopigwa aliyetoa amri alikuwa Joni Pombe Magufuli.

Shida ya Lissu Hana gavana ya kuongea. Leo anamuona Magufuli ni mtu mwema. Ndio maana CCM wanafanya wanayofanya maana hakuna
 
Mimi nilijua kitambo, hata mauji yale yalikuwa yanafanywa na mtandao wa ccm kumchafua, hii ccm ni ya kutoa ili tuanze upya. CCM ni bonge la janga, yaani uchumi hayawezi yana weza ujinga tu, hivi tuna vyoongea uchumi wa Tz umeporomoka kitoka 85B $ to 79B$ , mama yenu ni bure kabisa, sijui anafanya nini Ikulu, ni goal hilo kwa wa Tz.
 
Shida ya Lissu Hana gavana ya kuongea. Leo anamuona Magufuli ni mtu mwema. Ndio maana CCM wanafanya wanayofanya maana hakuna

..kuwategemea Ccm wasipotoshe kauli za Tundu Lissu ni tatizo la kujitakia tu.

..Lissu amesema Magufuli hakuua siku ya uchaguzi, lakini ndiye aliyetuma watu wamuue yeye binafsi. Sasa ni vipi amesema Magufuli ni mtu mzuri?
 
Huyo simuamini hata aandike nini humu jamaa aliniaminisha kwamba DAB kavuta SA sababu kalishwa sumu si nikaanza kusambaza uduvi mara paap DAB anakagua Airport Arusha nilionekana km Mchawi fulani hivi mpaka leo wale niliowaambia hawaamini km na Mimi niliambiwa na huyu mwamba hizi taarifa za uzushi huyu jamaa ni bingwa
Jamaa muongo sana alitwambiaga na Putin naye kuvuta
 
Alphonce Mawazo kauwawa na CCM
Ben saa nane
Azory Gwanda
Lajwabe
Akwilina

Yaan haijalishi kauwawa kwenye uchaguzi au kwenye siasa za kawaida

Mimi ni CCM, ninayepinga Mauaji

Britanicca
Wewe jamaa ni ongo ongo sana
 
Mimi nilijua kitambo, hata mauji yale yalikuwa yanafanywa na mtandao wa ccm kumchafua, hii ccm ni ya kutoa ili tuanze upya. CCM ni bonge la janga, yaani uchumi hayawezi yana weza ujinga tu, hivi tuna vyoongea uchumi wa Tz umeporomoka kitoka 85B $ to 79B$ , mama yenu ni bure kabisa, sijui anafanya nini Ikulu, ni goal hilo kwa wa Tz.

..tusimlaumu ndugu yetu. Labda DAB aliwapiga fiksi kwamba kalishwa sumu. Maana DAB anapenda sana kuonekana maisha yake yako hatarini.
 
..kuwategemea Ccm wasipotoshe kauli za Tundu Lissu ni tatizo la kujitakia tu.

..Lissu amesema Magufuli hakuua siku ya uchaguzi, lakini ndiye aliyetuma watu wamuue yeye binafsi. Sasa ni vipi amesema Magufuli ni mtu mzuri?
Lisu: Magufuli alisingiziwa mengi
 
Atanena sana kwa lugha huyu Amsterdam wa Singida. Magu anajitetea kupitia Lisu sasa ajabu na kweli
 
..Jpm amesingiziwa na wana Ccm wenzake waliomuua.

..lakini shutuma na malalamiko ya wapinzani dhidi ya Magufuli ni ukweli mtupu.
Unajua Kuwa Tundu Lisu aliwahishwa hospital na Afisa wa Serikali?
 
Kwa hili nitatofautiana na Lissu yule mwendawazimu alikuwa muuaji.
 
Back
Top Bottom