johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #81
Nimeona kapiga picha akiwa Hapo Himo 😄Mpo naye UWT ndiyo kamteka Nondo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona kapiga picha akiwa Hapo Himo 😄Mpo naye UWT ndiyo kamteka Nondo
Toa ujinga wako acha kuchafua wachagaNimeona kapiga picha akiwa Hapo Himo 😄
Ametajwa na Zitto KabweToa ujinga wako acha kuchafua wachaga
Alikuingiza mkenge 😂😂😂Huyo simuamini hata aandike nini humu jamaa aliniaminisha kwamba DAB kavuta SA sababu kalishwa sumu si nikaanza kusambaza uduvi mara paap DAB anakagua Airport Arusha nilionekana km Mchawi fulani hivi mpaka leo wale niliowaambia hawaamini km na Mimi niliambiwa na huyu mwamba hizi taarifa za uzushi huyu jamaa ni bingwa
Kwani mtu akikuuzia gari usipobadili jina si TRA wataendelea kumtambua mmiliki wa mwanzo, hakuna mchaga anateka hayo mambo yapo kwa kingaAmetajwa na Zitto Kabwe
Minja ametisha sanaKwani mtu akikuuzia gari usipobadili jina si TRA wataendelea kumtambua mmiliki wa mwanzo, hakuna mchaga anateka hayo mambo yapo kwa kinga
Aliuza gari mmiliki hajabadili umiliki TRAMinja ametisha sana
Alitabiri wapi hakuna kitu km hicho mzushi tu huyo muongo muongoAlikuingiza mkenge 😂😂😂
Lakini si huyu ndo alitabiri kifo Cha magufuli au nimechanganya mafaili ?
Safi sana tupo wengi ambao ni CCM tusiokubali upumbavu huu wa sasa 🙏🙏🙏Alphonce Mawazo kauwawa na CCM
Ben saa nane
Azory Gwanda
Lajwabe
Akwilina
Yaan haijalishi kauwawa kwenye uchaguzi au kwenye siasa za kawaida
Mimi ni CCM, ninayepinga Mauaji
Britanicca