LGE2024 Tundu Lissu: 2019 Hayati Magufuli hakuua Mtu hata Mmoja alifutafuta tu Uchaguzi, tulikosea kumdhania ni muuaji!

LGE2024 Tundu Lissu: 2019 Hayati Magufuli hakuua Mtu hata Mmoja alifutafuta tu Uchaguzi, tulikosea kumdhania ni muuaji!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
..anachosema Lissu ni kwamba uchaguzi wa 2019 haukufanyika hivyo hakukuwa na mauaji.

..lakini Lissu amesikika mara nyingi akisema marisasi aliyopigwa aliyetoa amri alikuwa Joni Pombe Magufuli.
 
Vice versa is true .
Huyo simuamini hata aandike nini humu jamaa aliniaminisha kwamba DAB kavuta SA sababu kalishwa sumu si nikaanza kusambaza uduvi mara paap DAB anakagua Airport Arusha nilionekana km Mchawi fulani hivi mpaka leo wale niliowaambia hawaamini km na Mimi niliambiwa na huyu mwamba hizi taarifa za uzushi huyu jamaa ni bingwa
 
Mdomo wa Lissu na ubongo wake havina muunganiko na ndio maana ni mtu ambaye kila siku anatoa kauli tofauti na zile alizoongea jana na juzi.lissu ni mnafiki sana anayesumbuliwa na Ubaguzi unaochochewa na Udini.
 
Huyo simuamini hata aandike nini humu jamaa aliniaminisha kwamba DAB kavuta SA sababu kalishwa sumu si nikaanza kusambaza uduvi mara paap DAB anakagua Airport Arusha nilionekana km Mchawi fulani hivi mpaka leo wale niliowaambia hawaamini km na Mimi niliambiwa na huyu mwamba hizi taarifa za uzushi huyu jamaa ni bingwa
🙄🙄Na Mimi nikupe ushuhuda wa alichosema kikatokea? Njia hiyo hiyo waliopita wanaisrael walicheka lakin walipopita wamisri walisaga meno🤣🤣
 
Alphonce Mawazo kauwawa na CCM
Ben saa nane
Azory Gwanda
Lajwabe
Akwilina

Yaan haijalishi kauwawa kwenye uchaguzi au kwenye siasa za kawaida

Mimi ni CCM, ninayepinga Mauaji

Britanicca
Wewe kwa sasa huaminiki na mtu na umeshapoteza sifa za kuaminika na ndio maana kwa sasa unapuuzwa humu jukwaani kwa sababu ya kuleta habari za uongo,uzushi na upashikuna. Kwa sasa hakuna mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua atakaye kuamini tena
 

Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lisu amesema Uchaguzi wa 2019 hakuna Mtu aliuawa

" hayati Magufuli alifutafuta tu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa lakini hakuuwa Mtu hata Mmoja"

Hakika Shujaa Magufuli 🌹 alisingiziwa mengi

Ameandika John Pambalu Ukurasani X

Mlale unono 😀
Sikiliza vizuri Acha kupotosha wewe
 
Alphonce Mawazo kauwawa na CCM
Ben saa nane
Azory Gwanda
Lajwabe
Akwilina

Yaan haijalishi kauwawa kwenye uchaguzi au kwenye siasa za kawaida

Mimi ni CCM, ninayepinga Mauaji

Britanicca
Umemusahau na Mwangosi na ulimboka iv Dr. Olomboka alikufa au ilikuwaje 2012?
 
..anachosema Lissu ni kwamba uchaguzi wa 2019 haukufanyika hivyo hakukuwa na mauaji.

..lakini Lissu amesikika mara nyingi akisema marisasi aliyopigwa aliyetoa amri alikuwa Joni Pombe Magufuli.
Bwashee ulipita mafunzo ya JKT au hata Mgambo miezi 3?
 
Back
Top Bottom