milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Unajua Kuwa Tundu Lisu aliwahishwa hospital na Afisa wa Serikali?
Akakimbilia Dubai kisha akarejeshwa kama gaidi? πΌ..Magufuli pia aliuwawa na maofisa wa serikali.
Magu alisikika akisema "Mtanikumbuka,si kwa mabaya bali kwa mema" mwisho wa kunukuu.
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lisu amesema Uchaguzi wa 2019 hakuna Mtu aliuawa
" hayati Magufuli alifutafuta tu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa lakini hakuuwa Mtu hata Mmoja"
Hakika Shujaa Magufuli πΉ alisingiziwa mengi
Ameandika John Pambalu Ukurasani X
Mlale unono π
Nilisema kuna siku Lissu atayasema haya maneno, atagundua hata lile shambulio lake hakuhusika.
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lisu amesema Uchaguzi wa 2019 hakuna Mtu aliuawa
" hayati Magufuli alifutafuta tu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa lakini hakuuwa Mtu hata Mmoja"
Hakika Shujaa Magufuli πΉ alisingiziwa mengi
Ameandika John Pambalu Ukurasani X
Mlale unono π
Ndugu Yohana ebu acha upotoshaji... TL ametamka wazi kwenye context ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa." hayati Magufuli alifutafuta tu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa lakini hakuuwa Mtu hata Mmoja"
Hakika Shujaa Magufuli πΉ alisingiziwa mengi
Huyo mwamba kuna wakati dishi linayumba! TL kajenga hoja kwamba Magufuli aliishia tu kufutafuta chaguzi nchi nzima LAKINI huyu mama yao kafuta chaguzi na kaua watu pia!Wewe unaona kufuta chaguzi ni powa tu! Tuna watu wa ajabu sana TZ Mungu tusaidie
Sasa nimepotosha nini hiyo 2019? πΌπNdugu Yohana ebu acha upotoshaji... TL ametamka wazi kwenye context ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
CCM wakiona unataka kufanikiwa hawezi kukuacha salama, kuua kwao ni jambo jema snVita vya Kiuchumi πΌ
Punguza dharauNi NGO imesajiliwa pale Magomeni π
Lisu anazidi kupoteana ππ
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lisu amesema Uchaguzi wa 2019 hakuna Mtu aliuawa
" hayati Magufuli alifutafuta tu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa lakini hakuuwa Mtu hata Mmoja"
Hakika Shujaa Magufuli πΉ alisingiziwa mengi
Ameandika John Pambalu Ukurasani X
Mlale unono π
Unamjua Beda Minja?Punguza dharau
Mpo naye UWT ndiyo kamteka NondoUnamjua Beda Minja?