Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kuwaletea maendeleo na haki Watanzania hata kabla ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kuwaletea maendeleo na haki Watanzania hata kabla ya Uchaguzi

Kwa kweli kila nikiwaza bila Lissu tungekuwa na hali gani hadi sasa kisiasa na kijamii naishia kuseme ASANTE MUNGU KWA KUMWACHA HAI KIUMBE HUYU ,HAKIKA ULIJUA MCHANGO WAKE NI MKUBWA KWA TAIFA LILILOKUWA LINADIDIMIA KARIBU NYANJA ZOTE
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kutamka, kazi ni msingi wa maisha. Akunyimaye kazi amekupa adhabu ya kifo.

Serikali ya awamu ya 5 imefanya jitihada kubwa sana ya kuwanyima kazi Watanzania. Yaani imefanya jitihada kubwa ya kuwapa Watanzania adhabu ya kifo.

Awamu ya 5 iliwaondoa maelfu ya wafanyakazi kwa kisingizio cha vyeti fake licha ya Watanzania hao, walio wengi wakiwa na vyeti halisia vya umahiri wa weledi wao kwenye ngazi za juu za elimu zao. Wengi waliondolewa kwa kukosa vyeti halali vya kidato cha 4 wakati ukweli ni kuwa miaka hiyo nyuma fursa za elimu zilikuwa finyu sana kama hukuchaguliwa kuingia shule za serikali hata kama ulikuwa umefaulu vizuri masomo yako.

Kuna madaktari na manesi wengi ambao wameokoa maisha ya maelfu ya Watanzania, waliondolewa na kufukuzwa kama mbwa koko bila hata ya kulipwa mafao yao. Kuna walimu, wahasibu, n.k. Hawa wote walipewa adhabu ya kifo na utawala wa awamu ya 5, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa.

Utawala wa Rais Magufuli uliua biashara na uwekezaji kwenye sekta karibu zote. Maelfu ya Watanzania wakakosa kazi. Hao nao, kwa tafsiri ya Mwalimu, utawala wa awamu ya 5 aliwapa adhabu ya kifo.

Rais Magufuli aliamuru kuvunjwa maelfu ya nyumba ambazo Watanzania walikuwa wakiendesha biashara mbalimbali kwenye nyumba hizo, tena nyumba zilizokuwa na hati, na kukiwa na zuio la mahakama. Hawa nao, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa, Rais Magufuli aliwapa adhabu ya kifo.

Kutokana na uwekezaji kudondoka toka ukuaji wa 28% mpaka 4%, maelfu ya wahitimu wa vyuo walikosa kazi. Hawa nao wamepewa adhabu ya kifo, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa.

TUNDU LISU AWAOKOA WATANZANIA KUTOKA ADHABU YA KIFO
Kutokana na Tundu Lisu kurejea nchini, na kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, amekuwa akiibua wazi udhaifu wa utawala wa awamu ya tano, hasa kuhusu kupuuza haki za raia, uhuru na maendeleo ya watu.

Kampeni zikiwa zinaendelea, Serikali ya awamu ya 5, imetangaza ajira 13,000 za walimu. Bila Lisu, nina hakika kwa 100%, serikali ya awamu ya 5 isingetangaza hizi ajira. Watakaoajiriwa, wautambue kwa namna ya pekee mchango wa Lisu na upinzani katika ustawi wa Taifa, ustawi wao binafsi na familia zao.

Kwa zaidi ya miaka 3, wakulima wa pamba, walinyimwa malipo yao. Baada ya Tundu Lisu kueleza wazi kuwa Serikali inawaonea na kuwaibia wakulima wa pamba kwa kutowalipa fedha za mauzo ya pamba yao, Serikali ya awamu ya 5 imetangaza kuwa itaanza kuwalipa madeni wakulima wa pamba. Wakulima hawa, bila Tundu Lisu, walikuwa wamepuuzwa na kusahaulika na Serikali ya awamu ya 5.

Sijui mpaka Kampeni kwisha, ni wananchi wangapi watafaidila kwa ujio wa Tundu Lisu.

Watanzania tuuenzi na kuulinda upinzani. Bila upinzani, ukiwa na uongozi kama huu wa awamu ya 5, tutajuta. Titakamatwa na kurundikwa magerezani, tutauawa hovyo, tutatekwa ovyo, tutapotezwa ovyo, tutaonewa hovyo, tutanyimwa uhuru na haki zetu hovyo, tutapuuzwa na kudhalilishwa utu wetu na hawa viongozi miunguwatu kwa namna isiyoelezeka.

Nina imani mpaka kwisha kwa kampeni, Watanzania wengi watanufaka na Tundu Lissu kugombea nafasi ya Urais. Watanzania tuupe nguvu kubwa upinzani, ili wanaoshika madaraka watutendee haki.
Na huko TUNDURU mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro ameamuru wafanyabiashara waliotozwa 30,000 kukodi eneo la biashara kila mmoja kurejeshewa fedha zao ndani ya siku 3. Lissu Mungu akubariki.
 
Nasikitika mno kuona wananchi maskini, ambao ni wengi sana... eti bado wanaishobokea CCM na kuwazodoa wapinzani!
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kutamka, kazi ni msingi wa maisha. Akunyimaye kazi amekupa adhabu ya kifo.

Serikali ya awamu ya 5 imefanya jitihada kubwa sana ya kuwanyima kazi Watanzania. Yaani imefanya jitihada kubwa ya kuwapa Watanzania adhabu ya kifo.

Awamu ya 5 iliwaondoa maelfu ya wafanyakazi kwa kisingizio cha vyeti fake licha ya Watanzania hao, walio wengi wakiwa na vyeti halisia vya umahiri wa weledi wao kwenye ngazi za juu za elimu zao. Wengi waliondolewa kwa kukosa vyeti halali vya kidato cha 4 wakati ukweli ni kuwa miaka hiyo nyuma fursa za elimu zilikuwa finyu sana kama hukuchaguliwa kuingia shule za serikali hata kama ulikuwa umefaulu vizuri masomo yako.

Kuna madaktari na manesi wengi ambao wameokoa maisha ya maelfu ya Watanzania, waliondolewa na kufukuzwa kama mbwa koko bila hata ya kulipwa mafao yao. Kuna walimu, wahasibu, n.k. Hawa wote walipewa adhabu ya kifo na utawala wa awamu ya 5, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa.

Utawala wa Rais Magufuli uliua biashara na uwekezaji kwenye sekta karibu zote. Maelfu ya Watanzania wakakosa kazi. Hao nao, kwa tafsiri ya Mwalimu, utawala wa awamu ya 5 aliwapa adhabu ya kifo.

Rais Magufuli aliamuru kuvunjwa maelfu ya nyumba ambazo Watanzania walikuwa wakiendesha biashara mbalimbali kwenye nyumba hizo, tena nyumba zilizokuwa na hati, na kukiwa na zuio la mahakama. Hawa nao, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa, Rais Magufuli aliwapa adhabu ya kifo.

Kutokana na uwekezaji kudondoka toka ukuaji wa 28% mpaka 4%, maelfu ya wahitimu wa vyuo walikosa kazi. Hawa nao wamepewa adhabu ya kifo, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa.

TUNDU LISU AWAOKOA WATANZANIA KUTOKA ADHABU YA KIFO
Kutokana na Tundu Lisu kurejea nchini, na kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, amekuwa akiibua wazi udhaifu wa utawala wa awamu ya tano, hasa kuhusu kupuuza haki za raia, uhuru na maendeleo ya watu.

Kampeni zikiwa zinaendelea, Serikali ya awamu ya 5, imetangaza ajira 13,000 za walimu. Bila Lisu, nina hakika kwa 100%, serikali ya awamu ya 5 isingetangaza hizi ajira. Watakaoajiriwa, wautambue kwa namna ya pekee mchango wa Lisu na upinzani katika ustawi wa Taifa, ustawi wao binafsi na familia zao.

Kwa zaidi ya miaka 3, wakulima wa pamba, walinyimwa malipo yao. Baada ya Tundu Lisu kueleza wazi kuwa Serikali inawaonea na kuwaibia wakulima wa pamba kwa kutowalipa fedha za mauzo ya pamba yao, Serikali ya awamu ya 5 imetangaza kuwa itaanza kuwalipa madeni wakulima wa pamba. Wakulima hawa, bila Tundu Lisu, walikuwa wamepuuzwa na kusahaulika na Serikali ya awamu ya 5.

Sijui mpaka Kampeni kwisha, ni wananchi wangapi watafaidila kwa ujio wa Tundu Lisu.

Watanzania tuuenzi na kuulinda upinzani. Bila upinzani, ukiwa na uongozi kama huu wa awamu ya 5, tutajuta. Titakamatwa na kurundikwa magerezani, tutauawa hovyo, tutatekwa ovyo, tutapotezwa ovyo, tutaonewa hovyo, tutanyimwa uhuru na haki zetu hovyo, tutapuuzwa na kudhalilishwa utu wetu na hawa viongozi miunguwatu kwa namna isiyoelezeka.

Nina imani mpaka kwisha kwa kampeni, Watanzania wengi watanufaka na Tundu Lissu kugombea nafasi ya Urais. Watanzania tuupe nguvu kubwa upinzani, ili wanaoshika madaraka watutendee haki.
Ipo haha ya kuanza kuwatambua maadui wa Uhuru na haki katika taifa letu,naamini Tanzania ni yetu sote ,bila masharti yoyote,bila ubaguzi na bili kisingizio chochote.
 
Baada ya ahadi za ajira kwa maticha sasa tunasikia na bima inakuja...tutasikia mengi...

Lissu tangulia mbele...wewe ni mteule wa Mungu....kila kauli yako ni kemeo kwa mashetani.
 
Halafu unakutana na takataka inakwambia inapenda bora upinzani ufe, wana bahati kuua ni dhambi la sivyo yangekuwa mengine.

Sadly anatafutwa na watu wa aina nyingi, kuna wasiojulikana na pia kuna moshi wanarusha mawe wakimwona! sasa sjui ataishi vp hii nchi. mapolisi kawatukana, mahakama ndo hana iman nao, nec ndo uspime ! kikaragosi wa ajab saana hii nchi
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kutamka, kazi ni msingi wa maisha. Akunyimaye kazi amekupa adhabu ya kifo.

Serikali ya awamu ya 5 imefanya jitihada kubwa sana ya kuwanyima kazi Watanzania. Yaani imefanya jitihada kubwa ya kuwapa Watanzania adhabu ya kifo.

Awamu ya 5 iliwaondoa maelfu ya wafanyakazi kwa kisingizio cha vyeti fake licha ya Watanzania hao, walio wengi wakiwa na vyeti halisia vya umahiri wa weledi wao kwenye ngazi za juu za elimu zao. Wengi waliondolewa kwa kukosa vyeti halali vya kidato cha 4 wakati ukweli ni kuwa miaka hiyo nyuma fursa za elimu zilikuwa finyu sana kama hukuchaguliwa kuingia shule za serikali hata kama ulikuwa umefaulu vizuri masomo yako.

Kuna madaktari na manesi wengi ambao wameokoa maisha ya maelfu ya Watanzania, waliondolewa na kufukuzwa kama mbwa koko bila hata ya kulipwa mafao yao. Kuna walimu, wahasibu, n.k. Hawa wote walipewa adhabu ya kifo na utawala wa awamu ya 5, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa.

Utawala wa Rais Magufuli uliua biashara na uwekezaji kwenye sekta karibu zote. Maelfu ya Watanzania wakakosa kazi. Hao nao, kwa tafsiri ya Mwalimu, utawala wa awamu ya 5 aliwapa adhabu ya kifo.

Rais Magufuli aliamuru kuvunjwa maelfu ya nyumba ambazo Watanzania walikuwa wakiendesha biashara mbalimbali kwenye nyumba hizo, tena nyumba zilizokuwa na hati, na kukiwa na zuio la mahakama. Hawa nao, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa, Rais Magufuli aliwapa adhabu ya kifo.

Kutokana na uwekezaji kudondoka toka ukuaji wa 28% mpaka 4%, maelfu ya wahitimu wa vyuo walikosa kazi. Hawa nao wamepewa adhabu ya kifo, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa.

TUNDU LISU AWAOKOA WATANZANIA KUTOKA ADHABU YA KIFO
Kutokana na Tundu Lisu kurejea nchini, na kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, amekuwa akiibua wazi udhaifu wa utawala wa awamu ya tano, hasa kuhusu kupuuza haki za raia, uhuru na maendeleo ya watu.

Kampeni zikiwa zinaendelea, Serikali ya awamu ya 5, imetangaza ajira 13,000 za walimu. Bila Lisu, nina hakika kwa 100%, serikali ya awamu ya 5 isingetangaza hizi ajira. Watakaoajiriwa, wautambue kwa namna ya pekee mchango wa Lisu na upinzani katika ustawi wa Taifa, ustawi wao binafsi na familia zao.

Kwa zaidi ya miaka 3, wakulima wa pamba, walinyimwa malipo yao. Baada ya Tundu Lisu kueleza wazi kuwa Serikali inawaonea na kuwaibia wakulima wa pamba kwa kutowalipa fedha za mauzo ya pamba yao, Serikali ya awamu ya 5 imetangaza kuwa itaanza kuwalipa madeni wakulima wa pamba. Wakulima hawa, bila Tundu Lisu, walikuwa wamepuuzwa na kusahaulika na Serikali ya awamu ya 5.

Sijui mpaka Kampeni kwisha, ni wananchi wangapi watafaidila kwa ujio wa Tundu Lisu.

Watanzania tuuenzi na kuulinda upinzani. Bila upinzani, ukiwa na uongozi kama huu wa awamu ya 5, tutajuta. Titakamatwa na kurundikwa magerezani, tutauawa hovyo, tutatekwa ovyo, tutapotezwa ovyo, tutaonewa hovyo, tutanyimwa uhuru na haki zetu hovyo, tutapuuzwa na kudhalilishwa utu wetu na hawa viongozi miunguwatu kwa namna isiyoelezeka.

Nina imani mpaka kwisha kwa kampeni, Watanzania wengi watanufaka na Tundu Lissu kugombea nafasi ya Urais. Watanzania tuupe nguvu kubwa upinzani, ili wanaoshika madaraka watutendee haki.
Absolutely true
 
Kuwanyima watu ajira na ujira bora ni adhabu ya kifo.

Je, watanzania wako tayari kuendelea kupewa adhabu ya kifo na Magufuli?
Hata kutokupandisha vyeo na kutokuongeza mishahara pia ni adhabu ya kifo kwa sababu ina imact kubwa mno kwenye retirement benefits.Wafikirie walostahili/waliostaafu kati ya 2015-2020 watafidiwa na nani?Magufuli hastahili kuwa kiongozi wa Taifa hili,haya ni makosa makubwa ambayo hayasameheki hadi mwisho wa dunia.

Wamefuta mafao ya kujitoa kwa wale waliokosa ajira kwa sababu ya mdororo wa uchumi na kuanguka kwa uwekezaji ilhali ni fedha zao.Haikosi wamefilisi mifuko ya Hifadhi ya Jamii,wamegeuza matumizi ya mifuko hii na wanajifanya wanaiunganisha kinyume na malengo ya mifuko hii.

Watanzania wenzangu,salama yetu ni kuikataa CCM na makando kando yake,vinginevyo tutalimia meno maradufu kama alivyoahidi Jiwe.Tunataka mabadiliko ya kimfumo nje CCM.
 
My President
IMG_20200907_213903.jpeg
 
Hata kutokupandisha vyeo na kutokuongeza mishahara pia ni adhabu ya kifo kwa sababu ina imact kubwa mno kwenye retirement benefits.Wafikirie walostahili/waliostaafu kati ya 2015-2020 watafidiwa na nani?Magufuli hastahili kuwa kiongozi wa Taifa hili,haya ni makosa makubwa ambayo hayasameheki hadi mwisho wa dunia.
Wamefuta mafao ya kujitoa kwa wale waliokosa ajira kwa sababu ya mdororo wa uchumi na kuanguka kwa uwekezaji ilhali ni fedha zao.Haikosi wamefilisi mifuko ya Hifadhi ya Jamii,wamegeuza matumizi ya mifuko hii na wanajifanya wanaiunganisha kinyume na malengo ya mifuko hii.
Watanzania wenzangu,salama yetu ni kuikataa CCM na makando kando yake,vinginevyo tutalimia meno maradufu kama alivyoahidi Jiwe.Tunataka mabadiliko ya kimfumo nje CCM.
Hata uchumi kudorora kiasi cha kupungua maradufu kwa fursa za kujiajiri ni adhabu ya kifo.

Je watanzania wako tayari kuendelea kutumikia hii adhabu ya kifo chini ya Magufuli ?
 
Hahaha na mkiruhusu Magufuli ashinde mtakoma, uvcc ndio watakuwa waajiriwa wa serikali ya Magufuli na utasikia nani aliniombea kura?!
 
Hata hizo ajira bado Nina mashaka nazo.

Mtu mwenye 'nia'' nzuri na watanzania huwezi kutoa ajira kipindi Cha kampeni.

Serikali ya Jiwe iache kumanipulate Hawa watoto wa masikini wenzetu waliosoma ualimu.
Leo mgombea wenu yuko wapi?
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kutamka, kazi ni msingi wa maisha. Akunyimaye kazi amekupa adhabu ya kifo.

Serikali ya awamu ya 5 imefanya jitihada kubwa sana ya kuwanyima kazi Watanzania. Yaani imefanya jitihada kubwa ya kuwapa Watanzania adhabu ya kifo

Awamu ya 5 iliwaondoa maelfu ya wafanyakazi kwa kisingizio cha vyeti fake licha ya Watanzania hao, walio wengi wakiwa na vyeti halisia vya umahiri wa weledi wao kwenye ngazi za juu za elimu zao. Wengi waliondolewa kwa kukosa vyeti halali vya kidato cha 4 wakati ukweli ni kuwa miaka hiyo nyuma fursa za elimu zilikuwa finyu sana kama hukuchaguliwa kuingia shule za serikali hata kama ulikuwa umefaulu vizuri masomo yako.

Kuna madaktari na manesi wengi ambao wameokoa maisha ya maelfu ya Watanzania, waliondolewa na kufukuzwa kama mbwa koko bila hata ya kulipwa mafao yao. Kuna walimu, wahasibu, n.k. Hawa wote walipewa adhabu ya kifo na utawala wa awamu ya 5, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa.

Utawala wa Rais Magufuli uliua biashara na uwekezaji kwenye sekta karibu zote. Maelfu ya Watanzania wakakosa kazi. Hao nao, kwa tafsiri ya Mwalimu, utawala wa awamu ya 5 aliwapa adhabu ya kifo.

Rais Magufuli aliamuru kuvunjwa maelfu ya nyumba ambazo Watanzania walikuwa wakiendesha biashara mbalimbali kwenye nyumba hizo, tena nyumba zilizokuwa na hati, na kukiwa na zuio la mahakama. Hawa nao, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa, Rais Magufuli aliwapa adhabu ya kifo.

Kutokana na uwekezaji kudondoka toka ukuaji wa 28% mpaka 4%, maelfu ya wahitimu wa vyuo walikosa kazi. Hawa nao wamepewa adhabu ya kifo, kwa tafsiri ya Baba wa Taifa.

TUNDU LISU AWAOKOA WATANZANIA KUTOKA ADHABU YA KIFO
Kutokana na Tundu Lisu kurejea nchini, na kugombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, amekuwa akiibua wazi udhaifu wa utawala wa awamu ya tano, hasa kuhusu kupuuza haki za raia, uhuru na maendeleo ya watu.

Kampeni zikiwa zinaendelea, Serikali ya awamu ya 5, imetangaza ajira 13,000 za walimu. Bila Lisu, nina hakika kwa 100%, serikali ya awamu ya 5 isingetangaza hizi ajira. Watakaoajiriwa, wautambue kwa namna ya pekee mchango wa Lisu na upinzani katika ustawi wa Taifa, ustawi wao binafsi na familia zao.

Kwa zaidi ya miaka 3, wakulima wa pamba, walinyimwa malipo yao. Baada ya Tundu Lisu kueleza wazi kuwa Serikali inawaonea na kuwaibia wakulima wa pamba kwa kutowalipa fedha za mauzo ya pamba yao, Serikali ya awamu ya 5 imetangaza kuwa itaanza kuwalipa madeni wakulima wa pamba. Wakulima hawa, bila Tundu Lisu, walikuwa wamepuuzwa na kusahaulika na Serikali ya awamu ya 5.

Sijui mpaka Kampeni kwisha, ni wananchi wangapi watafaidila kwa ujio wa Tundu Lisu.

Watanzania tuuenzi na kuulinda upinzani. Bila upinzani, ukiwa na uongozi kama huu wa awamu ya 5, tutajuta. Titakamatwa na kurundikwa magerezani, tutauawa hovyo, tutatekwa ovyo, tutapotezwa ovyo, tutaonewa hovyo, tutanyimwa uhuru na haki zetu hovyo, tutapuuzwa na kudhalilishwa utu wetu na hawa viongozi miunguwatu kwa namna isiyoelezeka.

Nina imani mpaka kwisha kwa kampeni, Watanzania wengi watanufaka na Tundu Lissu kugombea nafasi ya Urais. Watanzania tuupe nguvu kubwa upinzani, ili wanaoshika madaraka watutendee haki.
Hongera sana mkuu kwa kuumiza akili na kuibuka na huu ukweli ambao hata hao ccm wanaukubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom