Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kuwaletea maendeleo na haki Watanzania hata kabla ya Uchaguzi

Ondoa huo ujinga.

Kutangaza ajira kipindi cha kampeni ni RUSHWA.

Rais KUAMURU Kuitisha tenda ya ujenzi wa barabara na FEDHA za kujengea AULIZWE YEYE NI RUSHWA.

KAMA ILIKUWEMO KWENYE MPANGO, WAZIRI LAZIMA AJUWE FEDHA ZILIPO.

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TOENI UFAFANUZI,

ANGEAHIDI KUJENGA BAADA YA UCHAGUZI TUNGEMWELEWA.

KWA SASA NI RUSHWA.
 
Malipo yako ni kuwapigia kampeni wapinzani, maana bila hivyo, jiwe akipita tena anaweza watenda tena, huyo jamaa hana utu kabisa, ni ibilisi mwenye madaraka.
Mimi ni mtumishi wa Umma, siruhusiwi kupiga kampeni waziwazi. Huyu jamaa atanitumbua. Ila kwenye sanduku la kura ni dhahiri kwamba nitamchagua Lissu, apite asipite hiyo kwangu hainipi shida. Sitaki Jiwe apite na kura yangu ikawa ni mojawapo ya kura zilizompa madaraka. Katu sitafanya uchuro huo. Nimpe kura yangu kwa lipi?
 
Kuwanyima watu ajira na ujira bora ni adhabu ya kifo.

Je, watanzania wako tayari kuendelea kupewa adhabu ya kifo na Magufuli?
Hivi serikali inauwezo wa kuajiri watu wangapi?
 
Tume inamtangaza Magufuli. Matokeo yakishatangazwa hayapingwi popote.

Patamu hapo.
Nikweli tume ya kuchunguza sababu ya kwanini ccm ilichapisha fom moja ya uenyekiti, itamtangaza.

Lkn Lissu ndiye atatangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi kuwa ndiye rais aliye chaguliwa na watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu unakutana na takataka inakwambia inapenda bora upinzani ufe, wana bahati kuua ni dhambi la sivyo yangekuwa mengine.
Juzi asubuhi asubuhi nikapigiwa simu na litumishi moja la umma eti linajitapa habari ya Magufuli ameahidi kuwajengea barabara kutoka Bariadi sijui mpaka Singida, pumbavu nililitimua mapema sana! Kuna matakataka hayajitambui!
 
Hata watumishi karbu ata tamka wapewe nyongeza ya mishahara Kaza uzi Lissu.
 
Nikweli tume ya kuchunguza sababu ya kwanini ccm ilichapisha fom moja ya uenyekiti, itamtangaza.

Lkn Lissu ndiye atatangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi kuwa ndiye rais aliye chaguliwa na watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya Uchaguzi Lissu itatakiwa arudi tena Ulaya maana Magufuli safari hii ataenda kutuma vijana wa risasi zisizozidi tatu tu wamalize kazi iliyonshinda Makonda
 
Hauchoki kuandika maana kama umetumiwa vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…