Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Unataka kusema nini?Tulimsema mama na safari zake
ILA domo Kaya walaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema nini?Tulimsema mama na safari zake
ILA domo Kaya walaaaaaa
Hii ni pointi aisee hata kama hatujui anaenda na ulinzi gani.asiwe mjinga, aangalie na usalama wake. unaenda nchi za ajabu ajabu hizo.
😅😅😅Hajaenda kibwege
Tunachanga ili wafanye mambo muhimu kama hayo. Hatuchangu pesa za kunywea pombesijajua safari hiyo ina faida gani, na ina garama gani, na kama inagarimiwa na hizo mlizochangisha juzi, tayari zimeanza safari za nje? kwanini asiconcentrate na safari za hapa kuleta amshaamshaa?
Tunachanga ili wafanye mambo muhimu kama hayo. Hatuchangu pesa za kunywea pombesijajua safari hiyo ina faida gani, na ina garama gani, na kama inagarimiwa na hizo mlizochangisha juzi, tayari zimeanza safari za nje? kwanini asiconcentrate na safari za hapa kuleta amshaamshaa?
Nadhani ni Militant connection approach kutafuta vita vya msituni.Naona anatafuta balaa.
Au ndio mambo ya deal kuwa akisaidiwa kushinda uchanguzi Museveni atapewa kanda ya ziwa,na kweli Museveni anaitaka haswa.
Wanaposema Lissu hana tofauti na Tshombe wa Congo Leopardville naaza kuamini.
Umeandika Utumbo.....na kwa hili Vyombo vya Usalama vinapaswa kukushughulikia kwa kuzua TaharukiNadhani ni Militant connection approach kutafuta vita vya msituni.Naona anatafuta balaa.
Au ndio mambo ya deal kuwa akisaidiwa kushinda uchanguzi Museveni atapewa kanda ya ziwa,na kweli Museveni anaitaka haswa.
Wanaposema Lissu hana tofauti na Tshombe wa Congo Leopardville naaza kuamini.
Umerukwa na akili ukiwa wapi?Nadhani ni Militant connection approach kutafuta vita vya msituni.Naona anatafuta balaa.
Au ndio mambo ya deal kuwa akisaidiwa kushinda uchanguzi Museveni atapewa kanda ya ziwa,na kweli Museveni anaitaka haswa.
Wanaposema Lissu hana tofauti na Tshombe wa Congo Leopardville naaza kuamini.
Hiyo sio ziara bandugu! Ingelikuwa ziara kama angelikwenda kumtembelea Kiiza Besigye mahabusu. Akatoka hapo akaenda kufanya maongezi juu ya siasa upinzani Tanzania na Uganda (bilateral talks) na Kyagulanyi kisha wakafanya Mkutano wa Hadhara wa Kisiasa yeye na Kyagulanyi. Hapo ndio nigelijua hiyo ni ziara!Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu yuko Nchini Uganda kwa ziara ya Kikazi.
Taarifa iliyosambazwa na Chama chake kote Duniani hii hapa
View attachment 3257593
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
mambo muhimu ni amshaamsha, watu wanataka aende kwa wananchi awafungue akili ili wakati wa kupiga kura wawe na ufahamu, huko nje anaenda kuomba misaada au nini?Tunachanga ili wafanye mambo muhimu kama hayo. Hatuchangu pesa za kunywea pombe
Hii! Museven karuhusu kongamano kama hilo kufanyika nchini mwake! Ngoja tuone, mana nahisi hata Museven hapendi kumuona Lisu nchini mwake mana anawezakl kuhisi ameenda kuungana na kina Bobi Wine na BesigyeMwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu yuko Nchini Uganda kwa ziara ya Kikazi.
Taarifa iliyosambazwa na Chama chake kote Duniani hii hapa
View attachment 3257593
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Okay sawa, nilifikiri amekwenda Uganda kuzungumzia masuala ya demokrasia na dikteta Yoweri Museveni.Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu yuko Nchini Uganda kwa ziara ya Kikazi.
Taarifa iliyosambazwa na Chama chake kote Duniani hii hapa
View attachment 3257593
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
inaleta faida gani?Okay sawa, nilifikiri amekwenda Uganda kuzungumzia masuala ya demokrasia na dikteta Yoweri Museveni.
Ameenda kuitangaza agenda ya No Reforms no Elections! 😂😂😂 Hapo akisafiri Samia wale changudoa wangetoa shombo balaa!Tundu lissu Uganda kafata nini?
ambao hauna faida yeyote, hasa ikizingatia tupo kwenye mwaka wa uchaguzi ambao alitakiwa awe anazurura mikoani huko kuamsha wananchi wapate ufahamu. yeye anaenda uganda, kwa faida ipi na kwa pesa zipi?Uganda siyo mfano mzuri wa nchi ya kufanyiwa ziara; ila imeeleweka madhumuni ya ziara ni huo mkutano.