Uchaguzi 2020 Tundu Lissu abadili upepo, aanza kumsifu Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu abadili upepo, aanza kumsifu Rais Magufuli

Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.

Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.

Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.

Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?
Usikivu unaojaribu kuutafuta nikutoka upande gani ,kwani hats Mimi sijakuelewa.
 
Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.

Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.

Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.

Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?
mimi nimemuona na kumsikia akimponda Magufuli pale Muheza.
labda kama kahutubia mara 2!
 
Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.

Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.

Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.

Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?


Mkipigwa mitama kama Mbasha kwa kumlisha mtu maneno mtasema mnaonewa.
 
Mleta mada umepata mume aliye tayari kukusomesha elimu utakayo ili next time uje kuandika kitu kinachoeleweka.
Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu
 
Hata furasa, miundombinu na wataalamu wa wakati huo tofauti na sasa.
Hivyo usichukulie kuwa ilikuwa kazi rahisi, Nyerere aliweza sababu kuu mbili.
Kwanza aliwekeza sana kwenye kilimo na tuliuza bidhaa nyingi za kilimo na mifugo nje ya nchi kuliko sasa.
Pili Nyerere alikuwa bingwa wa diplomasia hivyo alipata sana misaada ya maendeleo huko miaka nyuma kabla ya vurugu kubwa za vita baridi.
Nyerere alikuta mashamba ya mkoloni, mashamba ya katani Tanga, chai Iringa, Kahawa Kilimanjaro na Hai. Ma DC na mabwana shamba wakikoloni walipita vijijini na walugaluga (mgambo) usipoonyesha shamba la pamba unakula viboko, majosho yalichimbwa hadi leo nenda Ndagalu Kabila Mwanhuzi kuna malambo ya mkoloni. Mashamba ya Mkonge yalikufa mikononi mwa nani kama sio Nyerere, hadi Mwinyi anachukua nchi hatukuwa hata na nguo, kijana ukifika usiku anaazima kaniki ya mamake ndio ajifunike.

Leo tunahimizwa kulima chakula mtu mwingine anasema anatukanwa, tunataka kujenga taifa la watu gani? wanaoona kufanyakazi ni manyanyaso
 
Nyerere alikabidhiwa Ikulu 1962 alikuta hazina ya taifa ina pound 75m hadi kufikia 1967 alikuwa kafanya nini? Maafisa wa Ikulu aliowakuta Nyerere kina Kasela Bantu na Edwin Mtei waliamua kutimka zao baada ya kuona mambo hayaendi sawa. Ni Amil Jamal raia wa Canada mwenye asili ya India ndio aliyekuja kuokoa jahazi, viwanda mnavyo visifia ni juhudi binafsi za Amil Jamal. Halafu leo mpuuzi mmoja anakuja kumbeza JPM.
Hivi ni Jambo gani liliokamilika, alilolianzisha mwenyewe na kulitekeleza JPM mpaka sasa ?
 
Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.

Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.

Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.

Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?

Kwa kisukuma hizi ndoto yako za mchana inaitwa "wishful thinking."

Ungekuwa umemalizia na sentensi moja tu kwenye bandiko lako mkuu kuwa:

"Laiti ingekuwa hivi."

Kusingekuwa na hizi changamoto zote. Siyo za kupumua lakini. Bali za kushindwa kukuelewa.
 
Nyerere alikabidhiwa Ikulu 1962 alikuta hazina ya taifa ina pound 75m hadi kufikia 1967 alikuwa kafanya nini? Maafisa wa Ikulu aliowakuta Nyerere kina Kasela Bantu na Edwin Mtei waliamua kutimka zao baada ya kuona mambo hayaendi sawa. Ni Amil Jamal raia wa Canada mwenye asili ya India ndio aliyekuja kuokoa jahazi, viwanda mnavyo visifia ni juhudi binafsi za Amil Jamal. Halafu leo mpuuzi mmoja anakuja kumbeza JPM.
Sawa alikuta fedha kiasi hicho lakini mbona hausemi alikuta huduma za kijamii na elimu vipoje?
Miundombinu ya maji ilikuwaje na yeye aliondoka vitu hivyo vikiwa katika hali gani? Alicha hospital na zahanati ngapi ambazo wakoloni hawakujenga?
Mkoloni alisomesha nje wataalamu wangapi kama wahandisi na daktari?
Nyerere alisomesha hao wataalamu wangapi huko nje?
Mkoloni alisomesha rubani wangapi nje na kununua ndege ngapi za serikali?
Je Nyerere alisomesha rubani wangapi na alinunua ndege ngapi?

Maana wakubwa wanakumbuka Nyerere alijitahidi sana kuweka angalau vyanzo vidogo vya maji au visima vya maji safi karibu kila kijiji cha ujamaa.
Una wakumbuka 'Fini-Water' mradi wa kutoka Finland?
 
Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.

Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.

Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.

Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?

Habari mwana usalama wa taifa 😂😂
 
Nyerere alikuta mashamba ya mkoloni, mashamba ya katani Tanga, chai Iringa, Kahawa Kilimanjaro na Hai. Ma DC na mabwana shamba wakikoloni walipita vijijini na walugaluga (mgambo) usipoonyesha shamba la pamba unakula viboko, majosho yalichimbwa hadi leo nenda Ndagalu Kabila Mwanhuzi kuna malambo ya mkoloni. Mashamba ya Mkonge yalikufa mikononi mwa nani kama sio Nyerere, hadi Mwinyi anachukua nchi hatukuwa hata na nguo, kijana ukifika usiku anaazima kaniki ya mamake ndio ajifunike.

Leo tunahimizwa kulima chakula mtu mwingine anasema anatukanwa, tunataka kujenga taifa la watu gani? wanaoona kufanyakazi ni manyanyaso
Umesahau Nyerere alisambaza maafisa ugani(Bwana Shamba), Bwana Mifugo kila kata na kulikuwa na mashamba ya bega kwa bega?
Na siyo kweli kwamba mashamba yote yalikufa enzi za Nyerere.
Nyerere alipeleka hadi vifaa vya kilimo mashuleni (primary and secondary schools), alipeleka mafunzo ya ufundi stadi hadi shule maalum za msingi.
Achana na Nyerere mkuu.

Jambo lingine lazima utambue kuna baadhi ya maeneo wakoloni hasa wa waingereza waliacha mashamba ambayo tayari ardhi lilisha choka na mashine au vifaa vya shambani vulikuwa vikuukuu tayari.
Nyerere alianzisha mashamba mapya pia.
Mbona mimi kijana mdogo lakini nakumbuka hivyo vitu? wewe ulikuwa wapi?
Au ni mapenzi yaliyopitiliza kwa Mh. Magufuli hadi unajivika upofu wa kumbukumbu?
 
Kaka mie nimejiajiri, nashughuli zangu ndogondogo kando ya barabara na sasa hivi aa mgambo ya jiji wala hawanisumbui tumekuwa marafiki
Kwakweli magufuli kawapa nafasi machinga ya kujitafutia bila bughudha na kudhurumiwa na migambo wa jiji.
Ukienda mjini cinty centre unafurahi mji msafi na machinga wapo wanapiga kazi.
 
Nyerere amekaa madarakani miaka mingapi na Magufuli amekaa miaka mingapi, halafu ndo uweze kuwatofautisha. Au je, Magufuli angekaa miaka ambayo Rais Nyerere alitawala, yaani apewe leo miaka hyo, je tutakuwa tumefika katika maendeleo gani?
Mkuu mimi ninamkubali na kumtetea Magufuli like not other, lakini inapofikia ukweli lazima usemwe.
Magufuli hajafikia hata nusu ya mambo aliyofanya Nyerere, tuache ushabiki wa ajabu ajabu.

Nyerere alijenga vyuo mbali mbali, shule nyingi, barabara kiasi chake, alijenga viwanda vingi sana vilivyo kuwa vinamilikiwa na serikali, alinunua ndege, aliwekeza kwenye mambo mengine mengi.

Magufuli ni kiongozi ninaye mkubali sana lakini bado hajafikia viwango vya Nyerere kila nyanja iwe kiuchumi au kijamii.
 
eddy nataka nikuambie jambo lingine alilofanya Nyerere ambalo Magufuli hajaweza.
Serikali ilikuwa inagawa bure lishe na maziwa kwa watoto wanaohudhuria kliniki na wamama wajawazito pia.
Walikuwa wanapewa elimu au mafunzo kuhusu watoto na ujauzito kisha mwishoni wanapewa hivyo vitu bure kabisa.

Mama yangu alikuwa coordinator wa afya akisambaza na kusimamia vitu hivyo hadi vijijini ndani huko. Mwache Nyerere aitwe Nyerere, huyu Mh. Magufuli anajitahidi sana sana lakini bado. Nahisi tutaelekea huko kwa baadhi ya yale mazuri ya Nyerere kama Magufuli atashinda awamu ya pili, tumpe muda na nafasi tu.
 
Hapo sawa.
Nilitaka kukushangaa sana, Nyerere ni habari nyingine.
Hii elimu bure hadi kidato cha nne kwa Nyerere ilikuwa kuanzia darasa la awali, shule ya msingi, sekondari hadi chuo kikuu.
Tena yeye alienda mbali sana kwa kutoa huduma ya chakula bure cha mchana na kifungua kinywa(uji saa nne asubuhi) shule za msingi, sekondari huko usiseme, vyuo vikuu kulikuwa na mabomba ya maziwa, mikate, matunda, vyakula vya kutosha na likizo watu walilipiwa nauli hadi za ndege na serikali.

Yule mzee hakuwa mtu wa kawaida kama waliomfuatia.
Hii inayo itwa mikopo ya elimu ya juu ilikuwa bure kabisa tena 100%.
Kitu cha kushangaza watu waliofaidika kupitia huduma hii ndiyo walikuja kupiga kura bungeni kupitisha sheria ya bodi ya mikopo na wengine kuandaa kanuni wizarani watu walipe hii fedha kama mikopo.
Wakapanga walipe waliofaidika kuanzia miaka ya 1990 na kitu wakajitoa wao wa miaka ya 80's kurudi nyuma wasilipe huduma hizo walizopewa bure na Nyerere.
Hapo kati nchi ilioza sana kwa ubinafsi na ufujaji mali ya umma, hao wazee kama haitoshi wakabadili muda wa kustaafu wakajiongezea muda ili waendelee kula wao na kuajiri ndugu zao.
Wenzetu wanashusha umri wa kustaafu ili kutoa fursa kwa vijana nao waajiriwe wapate mitaji sisi tunafanya kinyume chake!!!
Marupurupu ya usafiri sekondari! Mnapewa tiketi za mabasi na treni pamoja na mikate wale wanaoishi mbali! Vyakula vya kubadili ie nyama na samaki, wali, ugali na makande. Na hii tumeikuta bado inaendelea kwenye serikali ya Mwinyi
 
Nyerere amekaa madarakani miaka mingapi na Magufuli amekaa miaka mingapi, halafu ndo uweze kuwatofautisha. Au je, Magufuli angekaa miaka ambayo Rais Nyerere alitawala, yaani apewe leo miaka hyo, je tutakuwa tumefika katika maendeleo gani?
Ninyi hamsomi mnakimbilia kujibu, nimeshajibu mara tatu hii hoja yako.
Endelea kusoma comments utapata jibu chini.
 
Marupurupu ya usafiri sekondari! Mnapewa tiketi za mabasi na treni pamoja na mikate wale wanaoishi mbali! Vyakula vya kubadili ie nyama na samaki, wali, ugali na makande. Na hii tumeikuta bado inaendelea kwenye serikali ya Mwinyi
Yes Mwinyi aliendeleza vingi tu hata madaftari ya bure aligawa shule za msingi.
Mikate na hivyo vyakula vilikuwepo shuleni na vyuoni hadi miaka ya mwishoni mwa Mwinyi.
Yale yanapugwa chapa za Halmashauri Ya Wilaya husika.
 
Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.

Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.

Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.

Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?
Mkuu, ukimuuliza mwanachadema anachopinga term hii hakuna anayeweza kutoa hoja ya Msingi zaidi ya kuibua za watu wanatekwa, wanapigwa risasi, Pesa hakuna mtaani, Lissu alikuwa ubelgiji alipokuwa akitibiwa(Mungu ampe wepesi), kwa hiyo alikuwa hajatembelea mikoa kujionea yaliyofanyika maadam kaona hivyo hana budi kumuunga mkono Jpm.
 
Nawashauri watetezi wenzangu wa Magufuli acheni kabisa kujaribu kuwafananisha Nyerere na Magufuli kwa namna ya kutaka kuonesha Magufuli hadi miaka mitano ya kwanza ya uongozi wake amemzidi Nyerere.

Kama ninyi ni vijana wadogo rudini vitabuni, maktaba, na mkawaulize wazee wenu wakulungwa, Nyerere alikuwa mbali sana kimaendeleo.
Yuel mtu hapewi sifa bure bure tu, he was a man of high standards, far ahead of others.

Tukianza kuandika hapa mambo yake mazuri au aliyofanya moja baada ya lingine tutajaza kurasa nyingi mno kabla hatujamaliza.
Tulimkanya Lissu kumzungumzia vibaya Nyerere na sasa tuna wakanya ninyi pia, huyo mtu hachafuliki au hashindi kirahisi hivyo, ukimchukia au ukimpondea ndivyo unavyo ijongezea maadui ndani ya chama chako au mashabiki wako.
 
Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.

Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.

Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.

Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?
Mtoto wako habebi kwanja anasoma Shaban Robert Nini? Huwezi just yanayo tokea huku kwa wanyonge kaa kimya
 
Back
Top Bottom