Nyerere alitawala 24yrsMkuu mimi ninamkubali na kumtetea Magufuli like no other, lakini inapofikia ukweli lazima usemwe.
Magufuli hajafikia hata nusu ya mambo aliyofanya Nyerere, tuache ushabiki wa ajabu ajabu.
Nyerere alijenga vyuo mbali mbali, shule nyingi, barabara kiasi chake, alijenga viwanda vingi sana vilivyo kuwa vinamilikiwa na serikali, alinunua ndege, aliwekeza kwenye mambo mengine mengi.
Magufuli ni kiongozi ninaye mkubali sana lakini bado hajafikia viwango vya Nyerere kila nyanja iwe kiuchumi au kijamii.
Wajurumani ndio waliopanga maeneo ya miji mikubwa yaliyopangika kama posta, upanga, nk miaka ya 1890, na baadaye waingereza waliendeleza mipango miji, leo hii miaka 60 baada ya wakoloni kuondoka hakuna tena miji inayopangwa, zaidi ya kuacha Manzese, Buguruni, nk kukua hovyo.Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.
Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.
Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.
Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?
Hapana nyerere. Hakufanya maendeleo. Yoyote y . Uchumi alichofanya ni. Kuunganisha. Tz udini ukabika ukanda aliotokoneza na kudunisha ujamaa na kujitegeme . Jpm ni mchapakazi saana ila. Kila mmoja ananafasi yakeMkuu mimi ninamkubali na kumtetea Magufuli like no other, lakini inapofikia ukweli lazima usemwe.
Magufuli hajafikia hata nusu ya mambo aliyofanya Nyerere, tuache ushabiki wa ajabu ajabu.
Nyerere alijenga vyuo mbali mbali, shule nyingi, barabara kiasi chake, alijenga viwanda vingi sana vilivyo kuwa vinamilikiwa na serikali, alinunua ndege, aliwekeza kwenye mambo mengine mengi.
Magufuli ni kiongozi ninaye mkubali sana lakini bado hajafikia viwango vya Nyerere kila nyanja iwe kiuchumi au kijamii.
Kwahiyo jiwe amejenga shule elfu 20 zote kwa awamu hii?Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.
Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.
Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.
Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?
Sidhani kama una taarifa sahihi ya mambo aliyofanya Nyerere.Hapana nyerere. Hakufanya maendeleo. Yoyote y . Uchumi alichofanya ni. Kuunganisha. Tz udini ukabika ukanda aliotokoneza na kudunisha ujamaa na kujitegeme . Jpm ni mchapakazi saana ila. Kila mmoja ananafasi yake
Vijana hamsomi post nyingi mnakimbilia kujibu.Nyerere alitawala 24yrs
Magufuli 4.8yrs
Hii comparison discussion tuifanye 2040😂
Unadhani kuhudumia idadi ya watu iliyokuwepo wakati wa Mwalimu kwa maana ya kutoa elimu, matibabu, maji mishahara ya wafanyakazi nk ni sawa na idadi ya watu iliyopo sasa?
Tutakupataje wakati wa uteuzi bila kuweka namba yako ya simu ?Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.
Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.
Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.
Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?
Umesahau Nyerere alisambaza maafisa ugani(Bwana Shamba), Bwana Mifugo kila kata na kulikuwa na mashamba ya bega kwa bega?
Na siyo kweli kwamba mashamba yote yalikufa enzi za Nyerere.
Nyerere alipeleka hadi vifaa vya kilimo mashuleni (primary and secondary schools), alipeleka mafunzo ya ufundi stadi hadi shule maalum za msingi.
Achana na Nyerere mkuu.
Jambo lingine lazima utambue kuna baadhi ya maeneo wakoloni hasa wa waingereza waliacha mashamba ambayo tayari ardhi lilisha choka na mashine au vifaa vya shambani vulikuwa vikuukuu tayari.
Nyerere alianzisha mashamba mapya pia.
Mbona mimi kijana mdogo lakini nakumbuka hivyo vitu? wewe ulikuwa wapi?
Au ni mapenzi yaliyopitiliza kwa Mh. Magufuli hadi unajivika upofu wa kumbukumbu?
Angalau nimeelewa kuwa Wajerumani walitawala Tanzania kwa miaka 75.
Inaonekana mababu zetu walikuwa hawachangamani na mtawala wao licha ya kumkubali awatawale miaka yote hiyo! 75 Yaani hata sehemu ya watanzania inayoongea Kijerumani Kama lugha ya kurithi hakuna?! Tusiwe tunapuuza kujumuika kwa kisingizio chochote, tutakuwa tunakumbatia uswahili unaotufanya tushindwe kuchagua kama majirani wanavyoweza kuchagua!
Ha haaa ..Hahaaa haaaa mkuu, bila kupinga maelezo yako mazuri, ila nimecheka hapo uliposema ww ni kijana mdogo. Kijana mdogo halafu maelezo yako inaonyesha miaka ya Nyerere ulikuwa shule tayari.! Mtu yeyote aliyekuwa shule enzi Nyerere akiwa rais, huyo ni mzee. Tena hiyo ni bila kujali kama alikuwa chekechea ama la.
Wewe ukiwa GT hapa JF mimi najitoa uanachama wa JF.Jitahidi kusoma kama great thinker wa kweli na wewe kabla hujakimbilia kujibu Kwa kejeli...read between the lines...au unataka kila Jambo upakuliwe...sio kila response inafanana na uliyojibu..na ukiona issue inajirudia jua kuna Jambo hujalielewa Kwa akili yako ya awali.
Muda utaobgeaLisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.
Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.
Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.
Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?
The fact kwamba umetoa comment kama hiyo inaeleza vizuri jinsi ulivyo na ninaomba niheshimu kwamba tunaishi katika jamii ambayo ni diverse na hatuwezi wote kuwa Sawa.Wewe ukiwa GT hapa JF mimi najitoa uanachama wa JF.
Acheni mizaha na u-GT!
Mimi siyo GT hilo halina ubishi, lakini kusema wewe ni GT hilo lina ubishi mkubwa mno.The fact kwamba umetoa comment kama hiyo inaeleza vizuri jinsi ulivyo na ninaomba niheshimu kwamba tunaishi katika jamii ambayo ni diverse na hatuwezi wote kuwa Sawa.