I consider myself as a normal guy though JF administration has granted me to post my comments in a closed and exclusive 'JF Great Thinkers' forum.The fact kwamba umetoa comment kama hiyo inaeleza vizuri jinsi ulivyo na ninaomba niheshimu kwamba tunaishi katika jamii ambayo ni diverse na hatuwezi wote kuwa Sawa.
You are misguiding us. He said that as a mockery. "Hata wakoloni walijenga reli na barabara". It is a mockery and not a praise. Hotuba yake yote tunayo You-tube. Unapotosha makusudi au hujaielewa. Pole sana.
Nyerere alikabidhiwa Ikulu 1962 alikuta hazina ya taifa ina pound 75m hadi kufikia 1967 alikuwa kafanya nini? Maafisa wa Ikulu aliowakuta Nyerere kina Kasela Bantu na Edwin Mtei waliamua kutimka zao baada ya kuona mambo hayaendi sawa. Ni Amil Jamal raia wa Canada mwenye asili ya India ndio aliyekuja kuokoa jahazi, viwanda mnavyo visifia ni juhudi binafsi za Amil Jamal. Halafu leo mpuuzi mmoja anakuja kumbeza JPM.
nyerere ameiongoza tz miaka mingapi??? inawezekana hatuelewi hata tunachojadili sasa maadam ni magufuli katajwa tunakurupuka tu.Mkuu mimi ninamkubali na kumtetea Magufuli like no other, lakini inapofikia ukweli lazima usemwe.
Magufuli hajafikia hata nusu ya mambo aliyofanya Nyerere, tuache ushabiki wa ajabu ajabu.
Nyerere alijenga vyuo mbali mbali, shule nyingi, barabara kiasi chake, alijenga viwanda vingi sana vilivyo kuwa vinamilikiwa na serikali, alinunua ndege, aliwekeza kwenye mambo mengine mengi.
Magufuli ni kiongozi ninaye mkubali sana lakini bado hajafikia viwango vya Nyerere kila nyanja iwe kiuchumi au kijamii.
How about...I withdraw my comment and save you trouble... Thanks.Mimi siyo GT hilo halina ubishi, lakini kusema wewe ni GT hilo lina ubishi mkubwa mno.
Lazima ulitetee hilo dai lako kwa matendo na hoja nzito sana, na ufute kabisa hoja ulizo niuliza kuhusu Nyerere na ile uliyo zungumzia kuhusu u-GT.
Sababu they are very contrary to what a GT should be, GT must be good at finding facts about famous leaders or any public figures such as their former presidents.
Mchague LISU shida za niniKomaa kupiga makelele mpaka utazeeka. Maisha hayako hivyo. Utumishi utaupata baada ya kubeba zege.
Jishushe ili uinuliwe. Acha kujipimia vipimo ambavyo huna.
Just kubeba zege makes you valuable.
Chezea Magu wenye, watanyooka tu! Huyo TL akajenge kwanza na kufanyiwa ukarabati nyumba alimozaliwa kijijini kwake kabla hata kumfikilia kumpa utendaji was mtaa😂🤣😂!Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.
Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.
Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.
Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?
Shida kubwa mno!! Leo wameita watu wa dini hadharani kesho wataita waganga gizaniLissu ni shida kwa ccm...
Hizi nchi za kiafrica bado zina safari ndefu mno kufikia hatua ya kuheshimu katiba zao pamoja na utawala wa sheria.Lissu ni mwanasheria, anafaa kuiongoza nchi kwasababu nchi inaongozwa kwa mujibu wa katiba na Sheria. Na katiba ndiyo Sheria Mama.
Akamjengee nyumba kwanza babake kule kijijini, anazurura ulaya huku wazazi wake wakiteseka kwa ufukaraHizi nchi za kiafrica bado zina safari ndefu mno kufikia hatua ya kuheshimu katiba zao pamoja nautawala wa sheria.
Mtu akishakuwa Rais Afriva basi ni Mungu mtu...eti hats ukimtaja jina tu bila sababu unafungwa..
Yaani kama ile amri ya Nabii Mussa kwetu kwamba usilitaje jina .... inatumika hapa Africa...
Babako unajenga uwanja wa ndege kwao kwa hela ya wizi...atafungwa...Akamjengee nyumba kwanza babake kule kijijini, anazurura ulaya huku wazazi wake wakiteseka kwa ufukara
If it is or it was a mockery utajua wewe atajua yeye na watajua wale aliokuwa akiwa address. OK sasa anataka nchi isijengwe kwa kuwa Wabelgiji na Waingereza na Wajerumani walijenga hiyo miundo mbinu 100 YEARS AGO!? Sera gani hizi?You are misguiding us. He said that as a mockery. "Hata wakoloni walijenga reli na barabara". It is a mockery and not a praise. Hotuba yake yote tunayo You-tube. Unapotosha makusudi au hujaielewa. Pole sana.
Wewe pamoja na kuwa Lumumba buku Saba kwa mika mingi je ushamjengea babako kibanda?Akamjengee nyumba kwanza babake kule kijijini, anazurura ulaya huku wazazi wake wakiteseka kwa ufukara
Mie baba ndio alinijengea sitoki familia fukara, yeye kule kijijini kwao mafukara na anazidi kuwafukarisha anawambia atawagawia chakula Cha bure Kama Nyerere, ujinga mtupu, ile meli MV DEZZO haipo Tena, awaambie walimeWewe pamoja na kuwa Lumumba buku Saba kwa mika mingi je ushamjengea babako kibanda?
Kanye ulale bata we, ili kesho uamke usubiri buku 7 toka kwa babako anayekuweka mjini...Mie baba ndio alijijengea sitoki familia fukara, yeye kule kijijini kwao mafukara na anazidi kuwafukarisha anawambia atawagawia chakula Cha bure Kama Nyerere, ujinga mtupu, ile meli MV DEZZO haipo Tena, awaambie walime
Akili yako iko kwenye makalio, wekeni pumba zake tuzichambueKanye ulale bata we, ili kesho uamke usubiri buku 7 toka kwa babako anayekuweka mjini...
Magu anafanya mambo yeye ni kupinga tu wakati hata ofisi ya chama chake huko mtaa wa ufipa kama mbavu za mbwa tu. Kuongoza ni kuonyesha njia lakini kwa CHADEMA kuongoza ni kupinga pinga hovyo bila mantiki! Anyawy Tundu Lissu ana frustration/depression (Sonona) hivyo ngoja aendelee kubweka ili aondoe machungu ya moyoni hatimaye akili imkae sawa atakapoona kura hazitoshi!Mimi mbona naona madongo tu hapo?anyway Lissu yanaongea vitu vikubwa na anaviongea at his level so Magu na layman wenzake inakuwa ngumu kumuelewa