Mapungufu machache?? Jiwe alikuwa siyo mtu, alikuwa siyo kiongozi na hakustahili kuwa rais.Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya JPM wakati wa utawala wake,
Alisema ekari milioni 6. Acha kupotosha. Mzungu ajaribu kushtaki aone jinsi atakavyopoteana mahakamani.Nilimshangaa kumsikia akisema kuwa kuna hifadhi ya mzungu ina ukubwa wa
6,000,000sq kms.
Umenena. Ingawa lisu alishachelewa Dkt Magufuli ni mfumo siyo mtu. Asubiri tu kama atakuja kuwa kiongozi wa nchi it will never happen ni sawa na zito ayatollaNdugu yangu TAL, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya JPM wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Hivi:-Ndugu yangu TAL, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya JPM wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Eti Hayati, yaani Jiwe unamwita hayati[emoji848] Hapo hapo eti alikuwa na mapungufu madogo na mwisho unamaliza kuwa alipendwa na Watanzania. Kweli nimekosa jina la kukupa kwani uko huru kutumia kichwa chako upendavyoNdugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Hao watu ni kama wewe.Ni kweli, anapaswa kuchagua adui wa kumshambulia kwa umakini. Kwa hali mbaya iliyopo sasa hivi nchini watu wengi wanamkumbuka JPM.
Sasa mtu kama wewe ambaye ni Sukuma gang aka mnyonge nani anakuhitaji zaidi ya mtoa mada?Lissu ni activist material! na sio Political Material
Akipanda jukwaani na kichaa pia kinapanda!
Nilimshangaa kumsikia akisema kuwa kuna hifadhi ya mzungu ina ukubwa wa 6,000,000sq kms.
Sasa wanapanga kumshitaki ili awasafishe.
Hifadhi kubwa 6a wanyama nchini ni Nyerere 50sq kilometers.
Vyanzo vya Lissu sijui huwa anavipata wapi?
Mfumo wa maji taka au?Umenena. Ingawa lisu alishachelewa Dkt Magufuli ni mfumo siyo mtu. Asubiri tu kama atakuja kuwa kiongozi wa nchi it will never happen ni sawa na zito ayatolla
Yaani hata mimi naomba auliwe huko aliko asije kurudi abadaniMapungufu machache?? Jiwe alikuwa siyo mtu, alikuwa siyo kiongozi na hakustahili kuwa rais.
Mungu amuue tena huko aliko
Hivi Jiwe huo u Dkt huwa mnampa na wengine mnawita shujaa wenu hizo akili zenu huwa ziko sawa kweli???Umenena. Ingawa lisu alishachelewa Dkt Magufuli ni mfumo siyo mtu. Asubiri tu kama atakuja kuwa kiongozi wa nchi it will never happen ni sawa na zito ayatolla
?????Mfumo wa maji taka au?
Anaitwa Rais Dkt Samia! Wivu tu. Nimekutandika dislike ukomeHivi Jiwe huo u Dkt huwa mnampa na wengine mnawita shujaa wenu hizo akili zenu huwa ziko sawa kweli???
Hakika Kwa kiburi chake acha aendelee kuongea ujinga wake atawaponza chadema Kanda ya ziwaSikio la kufa halisikii dawa.