Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kupendwa kwa Magufuli ni dalili kuwa brainwashing yake ilisambaa sana.Lazima watu wapewe dozi ya elimu ili kuwaondoa na brainwashing hiyo.Na huo ndio ukweli,magufuli ndio rais aliyekipenzi cha watanzania wengi zaidi ukimtoa baba wa taifa,kasolo wale tu aliowashughurikia.
Tusipomsema Magufuli mtataka Mkapa asisemwe, Madudu ya Kikwete yasisemwe pindi akifa,na madudu ya Samia yasisemwe pindi akifa.
Tunakataa precedence hiyo ya kufunika kombe mwanaharamu apite eti kisa muovu kafa