Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Huyu jamaa ana ugonjwa unaitwa Histrionic personality disorder au tuseme attention seeking behaviors
Ni wa kumpuuza tu
Ni wa kumpuuza tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly [emoji817]....Ni kweli, anapaswa kuchagua adui wa kumshambulia kwa umakini. Kwa hali mbaya iliyopo sasa hivi nchini watu wengi wanamkumbuka JPM.
Kama uliwahi kuishi vijijini huhitaji sana kujiuliza kuhusu Lissu mkuu , anachokifanya anakijua hapo ni kwamba alikuwa anatafuna unyasi ulainike then aingize shimoni yule mdudu ang'ate unyasi alafu avute harka mdudu atokee nje apigwe jua afe,.Lissu ni activist material! na sio Political Material
Akipanda jukwaani na kichaa pia kinapanda!
Nilimshangaa kumsikia akisema kuwa kuna hifadhi ya mzungu ina ukubwa wa 6,000,000sq kms.
Sasa wanapanga kumshitaki ili awasafishe.
Hifadhi kubwa 6a wanyama nchini ni Nyerere 50sq kilometers.
Vyanzo vya Lissu sijui huwa anavipata wapi?
Hongera kwa maombi yako,na na mungu akulipe kulingana na utashi wako.Mapungufu machache?? Jiwe alikuwa siyo mtu, alikuwa siyo kiongozi na hakustahili kuwa rais.
Mungu amuue tena huko aliko
Na huo ndio ukweli,magufuli ndio rais aliyekipenzi cha watanzania wengi zaidi ukimtoa baba wa taifa,kasolo wale tu aliowashughurikia.Eti Hayati, yaani Jiwe unamwita hayati[emoji848] Hapo hapo eti alikuwa na mapungufu madogo na mwisho unamaliza kuwa alipendwa na Watanzania. Kweli nimekosa jina la kukupa kwani uko huru kutumia kichwa chako upendavyo
Mh. Tundu Antiphas Lissu, tafadhali endelea kupigilia hapo hapo kwenye mshono. Mwaka 2020 hatukuwa na uchaguzi bali uchafuzi. Kipenzi cha watu hahitaji vyombo vya dola kuiba kura kushinda uchaguzi. Angalia matakataka yaliyojaa bungeni hivi sasa.Na huo ndio ukweli,magufuli ndio rais aliyekipenzi cha watanzania wengi zaidi ukimtoa baba wa taifa,kasolo wale tu aliowashughurikia.
Sio kila binadamu ni mwenye Hekima 😅🙏🙏Ndugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Adolf Hitler bado anasemwa kwa ukatili wake miaka mingapi imepita? Itakuwa Magufuli juzi tu? Herode aliyemsulubisha Yesu anasemwa miaka mingapi imepita? Itakuwa Magufuli juzi tu?Ni kweli, anapaswa kuchagua adui wa kumshambulia kwa umakini. Kwa hali mbaya iliyopo sasa hivi nchini watu wengi wanamkumbuka JPM.
AiseeeeMapungufu machache?? Jiwe alikuwa siyo mtu, alikuwa siyo kiongozi na hakustahili kuwa rais.
Mungu amuue tena huko aliko
Kwan n uchaguzi upi mlikubaliana na matokeo, mbona hao marais hawakufa.?ibeni kura tena muone mamayenu kama hajafa kama jizi la chato.
Cheti feki unachekesha sana.Hao watu ni kama wewe.
Kuua watu sio mambo machache.Ndugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Hata Ben,azeory nk, hawakuweza kujitetea lkn waliliwa na chatu.Naunga mkono hoja, mtu huna sababu kumshambulia mtu anbaye hawezi kujitetea tena nashauri aache kabisa maana huko aliko, alikasirika ni anamshutua tuu YEYE, na mtu anaitwa fasta dakika sifuri!.
Ni kweli, alitenda mema mengi makubwa mazuri kuliko mabaya na maovu yake, na kabla hajatwaliwa alitubu, akasalishwa sala ya toba, akapakwa mafuta ya Krisma, hivyo dhambi zake zote za hapa duniani, zikaondolewa na zikasamehewa na Mungu mwenyewe!.
Saa hizi hivi tunavyozungumza hapa, sii wengi wanajua mahali alipo sasa, sisi wenzenu tuliojaaliwa kujulishwa tunaomba tuwaeleze kupitia Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Alipendwa na watanzania gani yule maku.aliokuwa anawateka ? Alopokonya dola? Alolea sabaya? Alieqmuru apewe kilema asie na hatia? AU hujui kuna watu waliliwa tako kwa amri yake?Ndugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Lazima ujifyatue kidogoHivi Jiwe huo u Dkt huwa mnampa na wengine mnawita shujaa wenu hizo akili zenu huwa ziko sawa kweli???
Siyo Lisu tu bali wengi wetu tutaendelea kumsema kwa mabaya yake aliyotufanyiaNdugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?