SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,385
- 894
Tundu Lisu na DJ si ndio walio nunuliwa na maMvi kwa vipande vya fedha na yule aliyehoji ujio wa maMvi ali furushwa kwenye chama. Leo hii Nyumbu wana kushangilia wanaona wanapiga hatua za kisiasa. Kwa hakika aliye waita nyumbu hakukosea hata kidogo.
Kwenda huko! Bladibasketi boli! Chuma kinafanya mambo yake very calculated, nahofia habari hizi zisije zikaleta mtafaruki kama ule uliotokea baada ya ziara ya Ruangwa.Amechukulia fomu wapi kwani amekanyaga ardhi yetu?
Ni ushujaa ndio, kama maelfu watakapo msindikiza Bernard Membe 2020 pale Dodoma kuchukua fomu za kugombea urais kwa tiketi ya chama chake CCM alichokitumikia siku nyingi.Aisee sikujua kuwa kuchukua fomu ni tukio la kishujaa.??
Any ways I hope hiyo fomu imejazwa vyema sio kama zile za Uchaguzi wa serikali za mitaa.
Elitwege unaandika kama wamekutwega? Mbona unachanganya hoja?Laana ya Dr Slaa ni Kali na sasa hivi imeongezeka laana ya Sumaye tena.
Chadema kwisha kabisa
We bwana we! Maswali ya kwenda kuuliza pale magogoni unatuuliza humu si kutuonea huko?Hivi lissu kwa nini walitaka kumuua
Hivi ile kazi ulisema kaajiriwa alisha fukuzwa? Mwanamke unakuwa muongo hadi unanuka!Huyu Tundu bana kumbe alitumiwa nauli kuja Kenya kujaza fomu?khaa
Mahindi yamepanda bei kwa sasa hivyo hana thamani ya debe LA mahindi, labda kwa msimu huu wa embe abadilishwe kwa tenga LA embeWewe ni tatizo linalojitegemea,bora wakakubadilishe kwa debe la mahindi mnadani
Kwenda huko! Bladibasketi boli! Chuma kinafanya mambo yake very calculated, nahofia habari hizi zisije zikaleta mtafaruki kama ule uliotokea baada ya ziara ya Ruangwa.
Ee baba uliye juu tuepushe na tafurani ile iliyotokea wakati ule mpaka mshusha bendera kuwa nusu mlingoti alisha jiandaa au kwa kimombo wanasema he was standby
Mshamba yupi mkuu? Huyu huyu aliyewakimbiza wote mkaufyata kwenye uchaguzi?Mshamba anaogopa kabisa kukanyaga dar, akisikia hizo habari
WanaJF
Habari za hivi Punde ni kwamba Jabali la kisiasa Tanzania na Afrika Tundu Antipas Lissu amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa na tayari amekwisha jaza fomu na kuzirejesha.
Akihutubia mkutano mkuu wa Kanda ya Kaskazini hivi Punde,Mwenyekiti wa chama Taifa Freeman Aikael Mbowe ameeleza kuhusu tukio hilo la kishujaa alilofanya Tundu Lissu.
Mbowe amesema Makamu Mwenyekiti wa sasa Professor Abdallah Safari ameomba kupumzika na hivyo Lissu ameona ni wakati muafaka kwake kuomba nafasi hiyo.
Wakati huo huo, Freeman Aikael Mbowe amekubali maombi ya vijana nchi nzima ya kugombea tena nafasi ya Mwenyekiti Taifa na amerejesha fomu yake kwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa.
Akirejesha fomu hiyo huku akishangiliwa kwa mayowe na wajumbe wa mkutano mkuu Kanda ya Kaskazini Mbowe amesema alichukua muda mrefu kutafakari ombi hilo la vijana na alikuwa na nia ya kutogombea tena nafasi hiyo.Hata hivyo amesema alirudisha moyo nyuma baada ya kutizama imani kubwa waliyo nayo wanachadema kwake na kuona akikataa maombi yao itakuwa ni kuwasaliti.
Akizungumzia yaliyotokea katika uchaguzi Kanda ya Pwani Mbowe amesema amesikitishwa na mambo ya uongo yanayoandikwa na baadhi ya watu na akasema kwenye mambo haya ya uchaguzi huwezi kuzuia ajali za kisiasa.Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba Mhe Sumaye anahitajika ndani ya Chadema kama walivyo wanachama wengine na amesema yaliyotokea yatamalizwa kwa upendo na nidhamu ya hali ya juu ndani ya chama.
Uongozi wa juu utakuwa wagalatia watupu........kama ACT wazalendo!WanaJF
Habari za hivi Punde ni kwamba Jabali la kisiasa Tanzania na Afrika Tundu Antipas Lissu amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa na tayari amekwisha jaza fomu na kuzirejesha.
Akihutubia mkutano mkuu wa Kanda ya Kaskazini hivi Punde,Mwenyekiti wa chama Taifa Freeman Aikael Mbowe ameeleza kuhusu tukio hilo la kishujaa alilofanya Tundu Lissu.
Mbowe amesema Makamu Mwenyekiti wa sasa Professor Abdallah Safari ameomba kupumzika na hivyo Lissu ameona ni wakati muafaka kwake kuomba nafasi hiyo.
Wakati huo huo, Freeman Aikael Mbowe amekubali maombi ya vijana nchi nzima ya kugombea tena nafasi ya Mwenyekiti Taifa na amerejesha fomu yake kwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa.
Akirejesha fomu hiyo huku akishangiliwa kwa mayowe na wajumbe wa mkutano mkuu Kanda ya Kaskazini Mbowe amesema alichukua muda mrefu kutafakari ombi hilo la vijana na alikuwa na nia ya kutogombea tena nafasi hiyo.Hata hivyo amesema alirudisha moyo nyuma baada ya kutizama imani kubwa waliyo nayo wanachadema kwake na kuona akikataa maombi yao itakuwa ni kuwasaliti.
Akizungumzia yaliyotokea katika uchaguzi Kanda ya Pwani Mbowe amesema amesikitishwa na mambo ya uongo yanayoandikwa na baadhi ya watu na akasema kwenye mambo haya ya uchaguzi huwezi kuzuia ajali za kisiasa.Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba Mhe Sumaye anahitajika ndani ya Chadema kama walivyo wanachama wengine na amesema yaliyotokea yatamalizwa kwa upendo na nidhamu ya hali ya juu ndani ya chama.
Bado unaishi karne ya 16Amechukulia fomu wapi kwani amekanyaga ardhi yetu?