Tundu Lissu achukua fomu kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa

Wewe ni tatizo linalojitegemea,bora wakakubadilishe kwa debe la mahindi mnadani
Tundu Lisu na DJ si ndio walio nunuliwa na maMvi kwa vipande vya fedha na yule aliyehoji ujio wa maMvi ali furushwa kwenye chama. Leo hii Nyumbu wana kushangilia wanaona wanapiga hatua za kisiasa. Kwa hakika aliye waita nyumbu hakukosea hata kidogo.
 
Amechukulia fomu wapi kwani amekanyaga ardhi yetu?
Kwenda huko! Bladibasketi boli! Chuma kinafanya mambo yake very calculated, nahofia habari hizi zisije zikaleta mtafaruki kama ule uliotokea baada ya ziara ya Ruangwa.
Ee baba uliye juu tuepushe na tafurani ile iliyotokea wakati ule mpaka mshusha bendera kuwa nusu mlingoti alisha jiandaa au kwa kimombo wanasema he was standby
 
Aisee sikujua kuwa kuchukua fomu ni tukio la kishujaa.??

Any ways I hope hiyo fomu imejazwa vyema sio kama zile za Uchaguzi wa serikali za mitaa.
Ni ushujaa ndio, kama maelfu watakapo msindikiza Bernard Membe 2020 pale Dodoma kuchukua fomu za kugombea urais kwa tiketi ya chama chake CCM alichokitumikia siku nyingi.
 

Bendera yetu irushwe nusu mlingoti sababu gani?
 
Mbowe ametumua akili nyingi na kiufundi wa hali ya juu sana. Kumfanya lissu naibu wake, kumlazimisha Abdallah Safari ajitoe na apishe nafasi.

Lakini Mbowe asitudanganye sisi sio wale nyumbu wake.
1. Hakuwa na nia ya kuachia kamba, bali mbinu za kisiasa za kiafrika. Japokuwa mie siyo mwana cdm, lakini ni mmoja wa watu waliopendelea aendelee kwa wakati, kwani Mbowe hana madhara makubwa kwa chama changu CCM.
2. Kumleta Lissu, kitakisaidia chama changu kurudia misingi yake ya kiutendeji, na atatusaidia kuwaumbua hawa maMBUMBU walio kiteka chama chetu.
3. Mbowe ndiye aliyemjengea mizingwe Sumaye, na amefanya vizuri sana, na tunaomba asirudi nyumbani, CCM sio ward ya hospitali.

Naiombea Chadema uchaguzi tulivu na watuletea siasa zenye tija na kuwaamsha CCM Asilia usinginzini.
 
Hiyo nafasi ya makamu mwenyekiti ilipaswa kupewa mzanzibari Ina maana Chadema sio Chama Cha kitaifa Tena ? Ni Cha Tanzania bara tu?
 

Drama!!!
 

Attachments

  • 5E3D86C3-21B0-45BA-B8E6-88A1E3291633.jpeg
    16.3 KB · Views: 1
Uongozi wa juu utakuwa wagalatia watupu........kama ACT wazalendo!
 
Lisu kama mwanaume kweli asimame na aseme tena kuwa nchi hii kuna 'dictator uchwara'..
 
Kwa hiyo safu inayotarajiwa, Kuna wengine hawataiona ni safu kali, bali wataiona ni safu ya wabara na kidini. Pia kuna muonekano wa Mbowe ameamua kuwaweka watu wake ,kwenye sehemu muhimu.

Matarajio ye wengi inaweza kuwa safu kali na muhimu, itakayoweza kupambana na CCM ya sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…