Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani hajawahi kumshinda MunguMagufuli nina uhakika atawaua wote.
Na sasa hivi anajitoa kwanza kwenye vyombo vya haki za binadamu vyote
Acha porojo na blah blahUongozi wa juu utakuwa wagalatia watupu........kama ACT wazalendo!
Na makucha yake kwakweliKumekucha !!!
Hayo ni maamuzi binafsi kupumzika.Unataka hata kupora watu hiyo demokrasiaChadema na Mbowe ni wasanii sana
Eti Mbowe kakubali maombi ya vijana nchi nzima ya kugombea tena uenyekiti
Yaan Prof. Safari aliyemkuta Mbowe kwenye uenyekiti kaomba kupumzika ila Mbowe hajaomba kupumzika
Ni habari njema kwa TaifaSafi sana,Habari njema hizi
Lisu kama mwanaume kweli asimame na aseme tena kuwa nchi hii kuna 'dictator uchwara'..
Propaganda hizi wajanja walishazipuuza siku nyingiLissu ungechukua Uenyekiti. Inanikumbusha Chacha Wangwe alipotaka kugombea Uenyekiti. LISSU siku ukichukua form za Uenyekiti ndo utamjua Mbowe ni nani.
Katibu Mkuu wampe albanie marcoz, hapo watakuwa wamefunga kazi.Halafu sasa kama hamjui kuna jembe la ukweli litakuwa katibu mkuu wa chama.
Ndiyo upeo wa akili yako ulikofikia.ShameUongozi wa juu utakuwa wagalatia watupu........kama ACT wazalendo!
Wa kumshukuru ni Mungu mfalme wa UlimwenguHabari njema sana hii, hapa Mbowe, huku Lisuu...wallah lazima hii boti ituvushe salama.. Asante jini mkatakamba kwa kukataa kukata ya Lisu bado tunamuhitaji sana..
Vema sana.Afadhali huyo ndiye atakaye weza kulambana na hujuma za jiwe
Lissu ungechukua Uenyekiti. Inanikumbusha Chacha Wangwe alipotaka kugombea Uenyekiti. LISSU siku ukichukua form za Uenyekiti ndo utamjua Mbowe ni nani.
Anachabo huyo tushajuaUmeshika nafasi?, ngoja tuweke kumbukumbu vizuri, ili tuone utaandika Nini baada ya kuelekezwa Cha kuandika