Ili nafaka iote lazima ioze kwanza!.Yah, tunahitaji Watu wanaoweza kusema twendeni hata road ili Jiwe atuuwe wote kama vipi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili nafaka iote lazima ioze kwanza!.Yah, tunahitaji Watu wanaoweza kusema twendeni hata road ili Jiwe atuuwe wote kama vipi.
Matumbo ya wauwaji yanatetemeka.Are you sure?? Sasa tushajua muuaji na mtekaji mkuu. Ok...
Naye ana damu kujiita jiwe haimaanishi kuwa yeye ni exceptional hata yeye ana tarehe yake.Magufuli nina uhakika atawaua wote.
Na sasa hivi anajitoa kwanza kwenye vyombo vya haki za binadamu vyote
Aseme Mara ngapi mbona hata kesi ipo sina hakika kama imeisha.Lisu kama mwanaume kweli asimame na aseme tena kuwa nchi hii kuna 'dictator uchwara'..
Ccm iliishakufa kitambo imebaki tu kushikiliwa na kauzi ka vyombo vya usalama hata uchaguzi wanaogopa.PROF. ABDALLAH SAFARI AMEONA MBALI SANA!
Kiuhalisia CDM inazama. Mtu makini hawezi kukubali kuendelea kukaa katika jahazi linalozama na hasa naodha akiwa ni yule yule aliyeingiza jahazi katika dhoruba.
Ikifika hapo, Wajanja huwa wanawahi maboya na kupiga mbizi nje ya jahazi.
Ndicho alichokifanya Prof. Abdallah Safari.
Ccm iliishakufa kitambo imebaki tu kushikiliwa na kauzi ka vyombo vya usalama hata uchaguzi wanaogopa.
They're very nervous of participating in any election that can be described as free and fair.
Magufuli nina uhakika atawaua wote.
Na sasa hivi anajitoa kwanza kwenye vyombo vya haki za binadamu vyote
Hizo huwa hazichezewagi mkuu,achezee vitu vingine...Ni lazima azitafune hizo nanihii za JiweView attachment 1277511
Mkuu unyekiti wa ccm au?N vzr angechukua ya uenyekiti
Safari hii risasi zisingeishia miguuni tena... bali zingelenga kichwa na kifua kabisaaN vzr angechukua ya uenyekiti
Mbowe ametumua akili nyingi na kiufundi wa hali ya juu sana. Kumfanya lissu naibu wake, kumlazimisha Abdallah Safari ajitoe na apishe nafasi.
Lakini Mbowe asitudanganye sisi sio wale nyumbu wake.
1. Hakuwa na nia ya kuachia kamba, bali mbinu za kisiasa za kiafrika. Japokuwa mie siyo mwana cdm, lakini ni mmoja wa watu waliopendelea aendelee kwa wakati, kwani Mbowe hana madhara makubwa kwa chama changu CCM.
2. Kumleta Lissu, kitakisaidia chama changu kurudia misingi yake ya kiutendeji, na atatusaidia kuwaumbua hawa maMBUMBU walio kiteka chama chetu.
3. Mbowe ndiye aliyemjengea mizingwe Sumaye, na amefanya vizuri sana, na tunaomba asirudi nyumbani, CCM sio ward ya hospitali.
Naiombea Chadema uchaguzi tulivu na watuletea siasa zenye tija na kuwaamsha CCM Asilia usinginzini.
Hiyo nafasi ya makamu mwenyekiti ilipaswa kupewa mzanzibari Ina maana Chadema sio Chama Cha kitaifa Tena ? Ni Cha Tanzania bara tu?
Ukichukua wewe inatosha tusipangianeLissu ungechukua Uenyekiti. Inanikumbusha Chacha Wangwe alipotaka kugombea Uenyekiti. LISSU siku ukichukua form za Uenyekiti ndo utamjua Mbowe ni nani.
Lisu kama mwanaume kweli asimame na aseme tena kuwa nchi hii kuna 'dictator uchwara'..
Kwa hiyo safu inayotarajiwa, Kuna wengine hawataiona ni safu kali, bali wataiona ni safu ya wabara na kidini. Pia kuna muonekano wa Mbowe ameamua kuwaweka watu wake ,kwenye sehemu muhimu.
Matarajio ye wengi inaweza kuwa safu kali na muhimu, itakayoweza kupambana na CCM ya sasa.
Chadema na Mbowe ni wasanii sana
Eti Mbowe kakubali maombi ya vijana nchi nzima ya kugombea tena uenyekiti
Yaan Prof. Safari aliyemkuta Mbowe kwenye uenyekiti kaomba kupumzika ila Mbowe hajaomba kupumzika
Ndiyo upeo wa akili yako ulikofikia.Shame