Tundu Lissu achukua fomu kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa

Tundu Lissu achukua fomu kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa

Ni lazima azitafune hizo nanihii za Jiwe
tapatalk_1575108277912.jpeg
 
Magufuli nina uhakika atawaua wote.
Na sasa hivi anajitoa kwanza kwenye vyombo vya haki za binadamu vyote
Naye ana damu kujiita jiwe haimaanishi kuwa yeye ni exceptional hata yeye ana tarehe yake.
 
PROF. ABDALLAH SAFARI AMEONA MBALI SANA!

Kiuhalisia CDM inazama. Mtu makini hawezi kukubali kuendelea kukaa katika jahazi linalozama na hasa naodha akiwa ni yule yule aliyeingiza jahazi katika dhoruba.

Ikifika hapo, Wajanja huwa wanawahi maboya na kupiga mbizi nje ya jahazi.

Ndicho alichokifanya Prof. Abdallah Safari.
Ccm iliishakufa kitambo imebaki tu kushikiliwa na kauzi ka vyombo vya usalama hata uchaguzi wanaogopa.

They're very nervous of participating in any election that can be described as free and fair.
 
Ccm iliishakufa kitambo imebaki tu kushikiliwa na kauzi ka vyombo vya usalama hata uchaguzi wanaogopa.

They're very nervous of participating in any election that can be described as free and fair.

Endelea kujidanganya na kujifariji.
 
Nimeshangaaa sana aiseee, kujitoa kwenye hizi mahakama sio bure kipo anachopanga kufanya.

Shida zote hizi mbeba lawama ni mzee wa msoga
Magufuli nina uhakika atawaua wote.
Na sasa hivi anajitoa kwanza kwenye vyombo vya haki za binadamu vyote
 
Kumbe anaweza kuja kujaza form za uongozi kwenye Chama chake, lakini hawezi kuja kwenye kesi zinazomwandama na kukamilisha ushahidi wa kesi yake ya kushambuliwa? Mazingaombwe ya Chadema huwezi kuyafahamu? Priority yao ni nini? Kuwafurahisha wanaowalisha? Je TL aliingia kweli Tanzania? Sheria za ukimbizi hazikubaliani na raia kurudi kwenye nchi aliyokimbia kwa sababu mbalimbali, Nini hasa TL amekubaliana na wafadhili wake? Je, TL yupo salama zaidi Nairobi?
 
Yoyote aliyekaribu yako akupe msaada wa kukunyang'anya simu naona umechanganyikiwa,wahi dozi muhimbili zinatolewa bure.
Mbowe ametumua akili nyingi na kiufundi wa hali ya juu sana. Kumfanya lissu naibu wake, kumlazimisha Abdallah Safari ajitoe na apishe nafasi.

Lakini Mbowe asitudanganye sisi sio wale nyumbu wake.
1. Hakuwa na nia ya kuachia kamba, bali mbinu za kisiasa za kiafrika. Japokuwa mie siyo mwana cdm, lakini ni mmoja wa watu waliopendelea aendelee kwa wakati, kwani Mbowe hana madhara makubwa kwa chama changu CCM.
2. Kumleta Lissu, kitakisaidia chama changu kurudia misingi yake ya kiutendeji, na atatusaidia kuwaumbua hawa maMBUMBU walio kiteka chama chetu.
3. Mbowe ndiye aliyemjengea mizingwe Sumaye, na amefanya vizuri sana, na tunaomba asirudi nyumbani, CCM sio ward ya hospitali.

Naiombea Chadema uchaguzi tulivu na watuletea siasa zenye tija na kuwaamsha CCM Asilia usinginzini.
 
Na wewe anzisha chama chako uweke watu uliotaka kuwaona wamewekwa
Kwa hiyo safu inayotarajiwa, Kuna wengine hawataiona ni safu kali, bali wataiona ni safu ya wabara na kidini. Pia kuna muonekano wa Mbowe ameamua kuwaweka watu wake ,kwenye sehemu muhimu.

Matarajio ye wengi inaweza kuwa safu kali na muhimu, itakayoweza kupambana na CCM ya sasa.
 
Wewe pumzika sisi tunaendelea kupambana,mahesabu 2020
Chadema na Mbowe ni wasanii sana

Eti Mbowe kakubali maombi ya vijana nchi nzima ya kugombea tena uenyekiti

Yaan Prof. Safari aliyemkuta Mbowe kwenye uenyekiti kaomba kupumzika ila Mbowe hajaomba kupumzika
 
Back
Top Bottom