Kwa hiyo hajaiva bado mkuuAsante sana.CCM lazima watambue kwamba mrithi anaandaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hajaiva bado mkuuAsante sana.CCM lazima watambue kwamba mrithi anaandaliwa
Lini sasaHuyu ndiye atakayekuwa mrithi wa Mbowe.
Kuiva kivipi? CDM ni tofauti sana na CCM na ukiwalinganisha utaumia bureKwa hiyo hajaiva bado mkuu
Hata chadema ni hivyo hivyo wameweka kivuli kisicho na maana hasa kwenye nafasi ya mwenyekitiKwa sasa angalau demokrasia ya maigizo chadema wako Mbele kuliko ccm. Kwa sasa ccm kugombea uwenyekiti had uwe rais. Ukitaka kujua demokrasia ya ccm ya kijinga chukua fomu ya kumpinga magu now.muulize membe
Hata miaka 10 ijayo.Bado ni kijana yuleLini sasa
Hakuna tofaut Kat ya ccm na chadema they have similar charactersWanasiasa ndo wako hivo, subiri mwakani utaona.Magu atachangiwa fomu ya kugombea urais.mark my words
Mbona Sumaye kapigiwa kura ya Hapana na alikuwa mgombea pekee? Si ndiyo demokrasia hiyo? Ama hujui? Sembuse Mbowe anapambana na majabali mawili?Hata chadema ni hivyo hivyo wameweka kivuli kisicho na maana hasa kwenye nafasi ya mwenyekiti
Huwezi lunganisha mbingu na ardhi.NeverHakuna tofaut Kat ya ccm na chadema they have similar characters
Kivip unaiona democracy ndani ya chama mkuuHuwezi lunganisha mbingu na ardhi.Never
Tundu lissu hajaiva ?jibu swaliKuiva kivipi? CDM ni tofauti sana na CCM na ukiwalinganisha utaumia bure
Chama chako cha CCM?Kivip unaiona democracy ndani ya chama mkuu
Aive amekuwa ndizi mbivu?Tundu lissu hajaiva ?jibu swali
Kwa hiyo mbowe atawale kwa miaka minhine kumi mzeeHata miaka 10 ijayo.Bado ni kijana yule
Hahahah acha ujanja jibu swaliAive amekuwa ndizi mbivu?
Unaelewa maana ya Uongozi Nguchiro wewe?Nenda mwenyewe usisumbili kuambiwa na mtu yeyote
Hata 20 alimradi ni wanachama wameamua wewe CCM kinakuuma nini?Kwa hiyo mbowe atawale kwa miaka minhine kumi mzee
Ccm hakuna democracy kwa sababu mag anawabinya wapinzani ,kama unavyoona mwenyewe je? Hata ninyi mnataka kuwa kama magufuli??Chama chako cha CCM?
Ujanja ndiyo nini? What are you trying to say?Hahahah acha ujanja jibu swali
You are confusing yourself..Ccm hakuna democracy kwa sababu mag anawabinya wapinzani ,kama unavyoona mwenyewe je? Hata ninyi mnataka kuwa kama magufuli??
Kwa hiyo unataka kusemaje?Vipi hali ya usalama wake si alisema ana wasiwasi na usalama wake kurudi TZ?