Tundu Lissu achukua fomu kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa

Mbona Sumaye kapigiwa kura ya Hapana na alikuwa mgombea pekee? Si ndiyo demokrasia hiyo? Ama hujui? Sembuse Mbowe anapambana na majabali mawili?
Wameweka wagombea vivuli mkuu ,kwanini kuwe na vipindi vingi vya kutawala je? Huyu msukuma akiongeza vipind mtafurahi mkuu
 
Wameweka wagombea vivuli mkuu ,kwanini kuwe na vipindi vingi vya kutawala je? Huyu msukuma akiongeza vipind mtafurahi mkuu
You are comparing something which is irrelevant
 
Kama haya yanatoka moyoni,Mungu wa mbinguni akubariki na ufahamu wako ukawe bora maradufu.Huwa nawaza kama wewe,tofauti moja tu mimi siyo mfuasi wa chama chochote bali haki.
 
Mbona Sumaye kapigiwa kura ya Hapana na alikuwa mgombea pekee? Si ndiyo demokrasia hiyo? Ama hujui? Sembuse Mbowe anapambana na majabali mawili?

Sumaye kapigiwa kura ya hapana halafu nini kinafuata, Pwani hakutakuwa na Mwenyekiti?

Katiba ya CHADEMA ni mkorogo

Kwa nini Sumaye asipite bila kupingwa?
 
Sumaye kapigiwa kura ya hapana halafu nini kinafuata, Pwani hakutakuwa na Mwenyekiti?

Katiba ya CHADEMA ni mkorogo

Kwa nini Sumaye asipite bila kupingwa?
Mambo ya kupita bila kupingwa yako huko kwenu CCM
 
Sumaye kapigiwa kura ya hapana halafu nini kinafuata, Pwani hakutakuwa na Mwenyekiti?

Katiba ya CHADEMA ni mkorogo

Kwa nini Sumaye asipite bila kupingwa?
Mambo ya kupita bila kupingwa yako huko kwenu CCM
 
Safi sana good idea baada ya kunyang'anywa ubunge Lissu alikuwa amepoteza political platform ndio watesi wake walichokitaka kwa kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti sasa atapata tena platform ya kisiasa aanze tena kumkaanga jiwe.
 
Hivi humu jamvini na wagonjwa wa akili nao tunachangia nao mijadala,Max aliangalie hili suala.
Najua mmeiga mengi na Kama mnataka kuiga na hili. Ondoeni kwenye katima ya ccm. Katiba nchi inawahusu wote kwenye vyama na wasio na vyama. Hivo usijitoe ufahamu ukahisi raisi ni kwa ajili ya wanachama wa chama fulani tu.
 
Mbowe alipaswa kupumzika.
Hata Nyerere aliombwa kuendelea na urais lakini hakuendekeza hisia za watu.
Tundu lisu alipaswa kuchukua form ya uenyekiti wa Taifa, period
 
Katika hili waandishi wasilaumiwe, tatizo ni sumaye sanasana, anaamini demokrasia mdomoni, akishindwa haitaki tena.
Kwa akili ya kawaida kabisa, huwezi kusema Demokrasia imemtoa Sumaye. Mtu alikua mgombea pekee hana mshindani, maana yake busara ingetumika kwamba amepita bila kupingwa. Katiba ya CDM inasema nafasi za uongozi zitakua za ushindani kwa kupigiwa kura. Sasa tujiulize Sumaye alikua anashindana na nani?
 
Mwenyekiti wa CCM anapigiwa kura ya Ndiyo au Hapana?
 
Mbowe alipaswa kupumzika.
Hata Nyerere aliombwa kuendelea na urais lakini hakuendekeza hisia za watu.
Tundu lisu alipaswa kuchukua form ya uenyekiti wa Taifa, period
Hujui usemacho.Nakushauri kunywa maji ulale
 
Safi sana good idea baada ya kunyang'anywa ubunge Lissu alikuwa amepoteza political platform ndio watesi wake walichokitaka kwa kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti sasa atapata tena platform ya kisiasa aanze tena kumkaanga jiwe.
Kawashika pabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…