Tundu Lissu Addressing on Humam Rights and Peace Centre Nchini Uganda, Makerere University. Wenyewe wasema Lissu ni Nyerere Wa Pili

Tundu Lissu Addressing on Humam Rights and Peace Centre Nchini Uganda, Makerere University. Wenyewe wasema Lissu ni Nyerere Wa Pili

Nimemsikiliza Lisu hapo mwishoni akiongea upi ungekuwa msimamo wa Nyerere endapo angekuwa hai leo na ikatokea vita ya Israel Vs Hamas kule Gaza na wingi wa watu waliouawa. Kwa mujibu wa Lisu anasema Nyerere angelichagua upande wa kuwatetea wapalestina. Lakini Je yeye mwenyewe Lisu yuko upande gani?
 
Mwambie na yeye chura kiziwi akaongee na wana UDSM kwa kingereza bila kusoma uijionee
UDSM ni Tanzania sio Uingereza kwa nini akaongee kingereza kwenye nchi ya kiswahili

Wewe kichwani hazimo
 
For the First time Leo nimetumia MB zangu kucheku video iliyowekwa hapa JF kiukweli hua sifungui kabisa video zinazowekwa humu kama Namna ya kutoa taarfa hua Sina huo Mda.

Niseme tu sijajutia kabisa MBs zangu zimeenda kiuhalali kabisa..

Vijana wa Uganda wanatema Ndoano tu kuelezea Hali ya kisiasa Bila uoga na Bila ingekua Bongo vijana wangeanza na Samia Mi5 Tena wakat shida ni lukuki Nchini.
 
Wanafunzi wa sheria wa sehemu fulani hivi hawawezi kufanya mijadala ya namna hii, wao na maporofesa yao.
 
Nimesikiliza dk zote 30 na sekunde 10. Nachoweza kusema ni kuwa kama hawa wanafunzi wangekuwa wa UDSM au chuo chochote cha Tanzania lazima wangepewa suspension na kisha kupotezwa mazima.
Museven pamoja na ufedhuli wake angaau bado anaacha watu watoe mawazo yao kwenye vyuo vikuu


Upo sahihi. Tanzania ya sasa imekuwa hopeless kanisa kwa sababu ya watawala waliokosa upeo. Kila mahali wanapenda kitumia maguvu, hata mahali pa apohitaji akili na hoja.
 
UDSM ni Tanzania sio Uingereza kwa nini akaongee kingereza kwenye nchi ya kiswahili

Wewe kichwani hazimo


Wewe utakuwa mjinga wa mambo mengi.

University of DSM ni international institution, na lugha rasmi ya mawasiliano na kufundishia ni English. Ndiyo maana mtu yeyote kutoka Taifa lolote anaweza kwenda kusoma UDSM, akijua kuwa mawasiliano rasmi ni kwa Kiingereza.

Hivyo, mjadala wowote ule rasmi wa kitaaluma, unaojumuisha jumuia nzima ya UDSM, unatakiwa kuendeshwa kwa Kingereza.
 
Watanzania, tuseme tu ule ukweli.
LISSU ni hazina kubwa sana kwa Taifa letu,bila kujali utofauti wetu wa kisiasa
Na zaidi, jamaa amesoma akaelewa kwellikweli. Hana elimu ya kubabaisha.
MUNGU ambariki sana Lissu.
God Bless Lissu
 
Nimemsikiliza Lisu hapo mwishoni akiongea upi ungekuwa msimamo wa Nyerere endapo angekuwa hai leo na ikatokea vita ya Israel Vs Hamas kule Gaza na wingi wa watu waliouawa. Kwa mujibu wa Lisu anasema Nyerere angelichagua upande wa kuwatetea wapalestina. Lakini Je yeye mwenyewe Lisu yuko upande gani?
Well yeye mwenyewe hajasema, maybe jibu atabaki nalo yeye
 
For the First time Leo nimetumia MB zangu kucheku video iliyowekwa hapa JF kiukweli hua sifungui kabisa video zinazowekwa humu kama Namna ya kutoa taarfa hua Sina huo Mda.

Niseme tu sijajutia kabisa MBs zangu zimeenda kiuhalali kabisa..

Vijana wa Uganda wanatema Ndoano tu kuelezea Hali ya kisiasa Bila uoga na Bila ingekua Bongo vijana wangeanza na Samia Mi5 Tena wakat shida ni lukuki Nchini.
Jana nimemaliza Video za Lissu I
U ganda Longer than 2hours live.
 
Back
Top Bottom