Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena bila malipoElimu kubwa inatolewa kwa njia rahisi
Lissu anaimba kitu hicho hicho ,hata Wimbo ukirudiwa sana huchuja, naongana naye kwenye swala la bandari kuhusu huyo mwanasesere ,=
Hotuba kamili ya Mh. Tundu A. Lissu Anzia dakika ya 18 [emoji1313][emoji1313]
Sikiliza hotuba yote, kuna mengi amezungumza yanayogusa maslahi ya Wananchi na Nchi kwa ujumla, (Pigia mstari neno Wananchi tafadhari).Lissu anaimba kitu hicho hicho ,hata Wimbo ukirudiwa sana huchuja, naongana naye kwenye swala la bandari kuhusu huyo mwanasesere ,
Yaan ndio laikini hili la kuimba kila siku sijui amepigwa ris ,na amna hatua aliyochukua mpaka leo ,inachisha kwa kweli ,mpaka unatabiri hutuba zake maana kwa 90 anarudia rudi mambo yale ,yale twende kwenye katibs mfumuko wa bei wzi na uuzawaji wa bandari ndo iww hoja ya msingiSikiliza hotuba yote, kuna mengi amezungumza yanayogusa msalahi ya Wananchi na Nchi kwa ujumla
Yes risasi ni mfano rejea bora kabisa, kuwa ameanza kutetea mikataba siku mingi lkn walimlipa risasiSikiliza hotuba yote, kuna mengi amezungumza yanayogusa msalahi ya Wananchi na Nchi kwa ujumla, (Pigia mstari neno Wananchi tafadhari).
Hapaswi kusavaivu hbr yako!!Haya
CCM inaimba wimbo huo huo wa kuuza rasilimali za Taifa na kuacha nchi kwenye shida, haya, nani Bora?Lissu anaimba kitu hicho hicho ,hata Wimbo ukirudiwa sana huchuja, naongana naye kwenye swala la bandari kuhusu huyo mwanasesere ,
Ukipigwa zile risasi na ukaishi utaadithia kila sehemu kila wakati. Linaweza kuwa automatic tu unajikuta unaongea.Lissu anaimba kitu hicho hicho ,hata Wimbo ukirudiwa sana huchuja, naongana naye kwenye swala la bandari kuhusu huyo mwanasesere ,