Pre GE2025 Tundu Lissu aendelea kusisitiza Wagombea CHADEMA, Unataka Ubunge ili iwaje? Watu wetu wanauawa kwa Risasi za Polisi!

Pre GE2025 Tundu Lissu aendelea kusisitiza Wagombea CHADEMA, Unataka Ubunge ili iwaje? Watu wetu wanauawa kwa Risasi za Polisi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu anasema kuwa uamuzi wa mtu kugombea Ubunge au nafasi nyingine ni wa Chama si wa mtu mmoja, na uamuzi wa Chama ni hakuna uchaguzi kama hakuna mabadiliko, hivyo yeyote anayekwenda CHADEMA ajue kwamba hakuna uchaguzi kwa nafasi yoyote endapo hakutakuwa na uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Uamuzi wa kushiriki Uchaguzi ni uamuzi wa vikao vya Chama, sio uamuzi wa mtu mmoja au mwanachama binafsi. Anayetaka kugombea Ubunge, au uwakilishi au Urais haamui yeye binafsi ni uamuzi wa vikao vya Chama, tulisema watu watangaze nia"

 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu anasema kuwa uamuzi wa mtu kugombea Ubunge au nafasi nyingine ni wa Chama si wa mtu mmoja, na uamuzi wa Chama ni hakuna uchaguzi kama hakuna mabadiliko, hivyo yeyote anayekwenda CHADEMA ajue kwamba hakuna uchaguzi kwa nafasi yoyote endapo hakutakuwa na uchaguzi.

"Uamuzi wa kushiriki Uchaguzi ni uamuzi wa vikao vya Chama, sio uamuzi wa mtu mmoja au mwanachama binafsi. Anayetaka kugombea Ubunge, au uwakilishi au Urais haamui yeye binafsi ni uamuzi wa vikao vya Chama, tulisema watu watangaze nia"


Hoja zake zina mashiko.

Chadema wanapaswa kujikita kwenye Kutetea Haki, Kupigania mabadiliko katika mchakato mzima wa Maendeleo ya Watu na Demokrasia hapa nchini.

Wakumbuke kwamba: Chama Cha ANC cha Afrika Kusini enzi za Utawala wa Ubaguzi wa rangi kwenye nchi hiyo walikuwa hawana hata Mbunge mmoja na pia Chama hicho kilitangazwa na Makaburu kuwa eti lilikuwa ni 'Kundi la Kigaidi.'
Kwa kuwa ANC ilikuwa inapigania HAKI za Watu weusi wa nchi hiyo, Wananchi wengi sana waliwaunga mkono. Pia Wananchi hao Walijitolea kwa hali na Mali, na wakati mwingine Wananchi hao walikuwa tayari kujitolea mhanga kwa maisha na uhai wao ili kuitetea ANC hadi hapo Chama hicho kiliposhika hatamu katika Utawala wa nchi hiyo.
 
Wasira ameenda kwa Balozi kumhakikishia uchaguzi utakuwa huru. Umewahi kuona wapi Simba anaihakikishia Yanga kwamba huyu refa hawezi kupendelea.

Kwa tume hii unaenda kushindana na Rais ambaye hata kwenye chama chake amezuia uchaguzi, amejichagua kimagumashi.

Kwa tume hii unaenda kushindana na Samia ambaye hata sheria za uchaguzi hazijui, kwa makusudi ameanza kampeni kabla ya muda.

Ni kichaa tu anaweza kujibu hizo hoja,nkwa sababu kichaa hana aibu wala cha kupoteza. Ila mtu mwenye akili timamu hawezi kujibu.

Unaenda kwenye uchaguzi ili iweje? Kuhalalisha haramu?
 
CDM kususia uchaguzi kutakuwa na impact ipi? Post election CHADEMA haitakuwa na Rais, Mbunge wala Diwani hata mmoja, kitakuwa chama cha namna gani? CHADEMA wana mbinu nyingine za ku force fair ground kwenye uchaguzi ama wakishasema "No reform, no election" imeisha?
 
CDM kususia uchaguzi kutakuwa na impact ipi? Post election CHADEMA haitakuwa na Rais, Mbunge wala Diwani hata mmoja, kitakuwa chama cha namna gani? CHADEMA wana mbinu nyingine za ku force fair ground kwenye uchaguzi ama wakishasema "No reform, no election" imeisha?
Waende kwenye uchaguzi kwa sheria hizi ili iweje?
 
Wasira ameenda kwa Balozi kumhakikishia uchaguzi utakuwa huru. Umewahi kuona wapi Simba anaihakikishia Yanga kwamba huyu refa hawezi kupendelea.

Kwa tume hii unaenda kushindana na Rais ambaye hata kwenye chama chake amezuia uchaguzi, amejichagua kimagumashi.

Kwa tume hii unaenda kushindana na Samia ambaye hata sheria za uchaguzi hazijui, kwa makusudi ameanza kampeni kabla ya muda.

Ni kichaa tu anaweza kujibu hizo hoja,nkwa sababu kichaa hana aibu wala cha kupoteza. Ila mtu mwenye akili timamu hawezi kujibu.

Unaenda kwenye uchaguzi ili iweje? Kuhalalisha haramu?
Good!
 
CDM kususia uchaguzi kutakuwa na impact ipi? Post election CHADEMA haitakuwa na Rais, Mbunge wala Diwani hata mmoja, kitakuwa chama cha namna gani? CHADEMA wana mbinu nyingine za ku force fair ground kwenye uchaguzi ama wakishasema "No reform, no election" imeisha?
Kwani sasa hivi wana Wabunge? Hakuna kushiriki uchafuzi CCM wamezoea na watu wakigoma kwenda kupiga kura wataona aibu.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu anasema kuwa uamuzi wa mtu kugombea Ubunge au nafasi nyingine ni wa Chama si wa mtu mmoja, na uamuzi wa Chama ni hakuna uchaguzi kama hakuna mabadiliko, hivyo yeyote anayekwenda CHADEMA ajue kwamba hakuna uchaguzi kwa nafasi yoyote endapo hakutakuwa na uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Uamuzi wa kushiriki Uchaguzi ni uamuzi wa vikao vya Chama, sio uamuzi wa mtu mmoja au mwanachama binafsi. Anayetaka kugombea Ubunge, au uwakilishi au Urais haamui yeye binafsi ni uamuzi wa vikao vya Chama, tulisema watu watangaze nia"

yeye alitaka Uenyekiti ili iweje? alichokitafuta kwenye Uenyekiti ndicho hicho wabnachokitafuta kwa Ubunge! Rubbish!
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu anasema kuwa uamuzi wa mtu kugombea Ubunge au nafasi nyingine ni wa Chama si wa mtu mmoja, na uamuzi wa Chama ni hakuna uchaguzi kama hakuna mabadiliko, hivyo yeyote anayekwenda CHADEMA ajue kwamba hakuna uchaguzi kwa nafasi yoyote endapo hakutakuwa na uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Uamuzi wa kushiriki Uchaguzi ni uamuzi wa vikao vya Chama, sio uamuzi wa mtu mmoja au mwanachama binafsi. Anayetaka kugombea Ubunge, au uwakilishi au Urais haamui yeye binafsi ni uamuzi wa vikao vya Chama, tulisema watu watangaze nia"

Lissu anaeleweka zaidi ya kueleweka. Kushiriki uchaguzi kwa sasa ni sawa na kubariki udhalimu unaofanywa na Chama cha Mapinduzi.
 
yeye alitaka Uenyekiti ili iweje? alichokitafuta kwenye Uenyekiti ndicho hicho wabnachokitafuta kwa Ubunge! Rubbish!
Huna hata logic kwenye ku counter hiyo point yake. Hizo ni nafasi mbili tofauti zikiwa na malengo tofauti,
anachodai lissu hapo si maamuzi yake kwamba nani agombee, bali mifumo ya chama. Refer uongozi uliopita
 
Wasira ameenda kwa Balozi kumhakikishia uchaguzi utakuwa huru. Umewahi kuona wapi Simba anaihakikishia Yanga kwamba huyu refa hawezi kupendelea.

Kwa tume hii unaenda kushindana na Rais ambaye hata kwenye chama chake amezuia uchaguzi, amejichagua kimagumashi.

Kwa tume hii unaenda kushindana na Samia ambaye hata sheria za uchaguzi hazijui, kwa makusudi ameanza kampeni kabla ya muda.

Ni kichaa tu anaweza kujibu hizo hoja,nkwa sababu kichaa hana aibu wala cha kupoteza. Ila mtu mwenye akili timamu hawezi kujibu.

Unaenda kwenye uchaguzi ili iweje? Kuhalalisha haramu?
Eti Yanga anamwambia Simba kuwa tukacheze Refarii atakuwa fear badala ya TFF kusema.
Mh Mbowe ametuchelewesha sana.
 
💪✌️
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu anasema kuwa uamuzi wa mtu kugombea Ubunge au nafasi nyingine ni wa Chama si wa mtu mmoja, na uamuzi wa Chama ni hakuna uchaguzi kama hakuna mabadiliko, hivyo yeyote anayekwenda CHADEMA ajue kwamba hakuna uchaguzi kwa nafasi yoyote endapo hakutakuwa na uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Uamuzi wa kushiriki Uchaguzi ni uamuzi wa vikao vya Chama, sio uamuzi wa mtu mmoja au mwanachama binafsi. Anayetaka kugombea Ubunge, au uwakilishi au Urais haamui yeye binafsi ni uamuzi wa vikao vya Chama, tulisema watu watangaze nia"

 
Back
Top Bottom