TAL YUKO SAWA KWA 100%Lissu anaeleweka zaidi ya kueleweka. Kushiriki uchaguzi kwa sasa ni sawa na kubariki udhalimu unaofanywa na Chama cha Mapinduzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TAL YUKO SAWA KWA 100%Lissu anaeleweka zaidi ya kueleweka. Kushiriki uchaguzi kwa sasa ni sawa na kubariki udhalimu unaofanywa na Chama cha Mapinduzi.
You can't change the system while you're outside! Always changes come from within. Sijui kama Chadema mnalielewa hili au mnashupaza shingo tu!Hoja zake zina mashiko.
Chadema wanapaswa kujikita kwenye Kutetea Haki, Kupigania mabadiliko katika mchakato mzima wa Maendeleo ya Watu na Demokrasia hapa nchini.
Wakumbuke kwamba: Chama Cha ANC cha Afrika Kusini enzi za Utawala wa Ubaguzi wa rangi kwenye nchi hiyo walikuwa hawana hata Mbunge mmoja na pia Chama hicho kilitangazwa na Makaburu kuwa eti lilikuwa ni 'Kundi la Kigaidi.'
Kwa kuwa ANC ilikuwa inapigania HAKI za Watu weusi wa nchi hiyo, Wananchi wengi sana waliwaunga mkono. Pia Wananchi hao Walijitolea kwa hali na Mali, na wakati mwingine Wananchi hao walikuwa tayari kujitolea mhanga kwa maisha na uhai wao ili kuitetea ANC hadi hapo Chama hicho kiliposhika hatamu katika Utawala wa nchi hiyo.
Chadema hawatasusia Uchaguzi, ila uchaguzi hautafanyikaCDM kususia uchaguzi kutakuwa na impact ipi? Post election CHADEMA haitakuwa na Rais, Mbunge wala Diwani hata mmoja, kitakuwa chama cha namna gani? CHADEMA wana mbinu nyingine za ku force fair ground kwenye uchaguzi ama wakishasema "No reform, no election" imeisha?
Vyama vingine vinawachumia tumbo tuHakuna kitu kama hicho vyama ni vingi sio chadema pekee. Hivyo uchaguzi upo pale pale.