Pre GE2025 Tundu Lissu aendelea kusisitiza Wagombea CHADEMA, Unataka Ubunge ili iwaje? Watu wetu wanauawa kwa Risasi za Polisi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
You can't change the system while you're outside! Always changes come from within. Sijui kama Chadema mnalielewa hili au mnashupaza shingo tu!
 
Wanaoutaka ubunge na nafasi zingine,

Wanaandaliwa kisaikolojia kukaa mstari wa mbele kupigania Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.

No reforms no Election.
 
Chadema hawatasusia Uchaguzi, ila uchaguzi hautafanyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…