Uchaguzi 2020 Tundu Lissu afafanua maana ya uhuru, haki na maendeleo ya watu kwa watu wa Dodoma

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu afafanua maana ya uhuru, haki na maendeleo ya watu kwa watu wa Dodoma

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Akiwa mkoani Dodoma ambayo kwa asili ni ngome ya chama cha mapinduzi, Ndugu Lissu amefafanua kwa uzuri kabisa na kwa lugha rahisi kabisa ya kueleweka anamaanisha nini pale CHADEMA inaposema haki, uhuru na maendeleo ya watu.

Mheshimiwa Lissu ameelezea ukosefu wa haki kwa kutolea mfano chaguzi za serikali za mitaa ambazo wananchi walinyimwa haki ya kuchagua viongozi wake na badala yake serikali ya Magufuli ikawalazimishia wananchi viongozi wa kuwaongoza.

Akizungumzia kuhusu uhuru, Lissu akatolea mfano vitendo vya wakulima kugharamia wenyewe hatua zote za kilimo kuanzia kuandaa shamba, ku lakini mara baada ya uvunaji mazao yake yanapangiwa msururu wa vikanuni kanuni na tozo kibao. Katika mkutano huo wananchi wanaonyesha kuzikubali sana hoja za Lissu

 
Hayo ni maneno ya kipuuzi tu, yeye aseme akiingia madarakani tozo zipi atafuta? hizo kanuni huwekwa na halmashauri na madiwani wake atueleze katika halmashauri zilizokuwa chini ya chadema walifuta hizi tozo? vinginevyo ni porojo za kilevi tu, hivi ile sant Anne aliyonunua mlimani city ameshaimaliza? isijekuwa tunaongea na mlevi
 
Kwa more than 80% hizo tozo zilipungua ndio maana halimashauri kama mbeya na Tunduma hawakuona haja ya vitambulisho vya mjasiriamali
Hayo ni maneno ya kipuuzi tu, yeye aseme akiingia madarakani tozo zipi atafuta? hizo kanuni huwekwa na halmashauri na madiwani wake atueleze katika halmashauri zilizokuwa chini ya chadema walifuta hizi tozo? vinginevyo ni porojo za kilevi tu, hivi ile sant Anne aliyonunua mlimani city ameshaimaliza? isijekuwa tunaongea na mlevi
 
Dah....hebu miaka 5 hii tumpe Lissu mtihani...asimamie Demokrasia ya kweli ndani ya CDM....Asimamie matumizi ya ruzuku kwa maendeleo ya CDM...kama Makamu Mwenyekiti. ... akiweza hayo 2025 atapata kura yangu mapema asubuhi [emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah....hebu miaka 5 hii tumpe Lissu mtihani...asimamie Demokrasia ya kweli ndani ya CDM....Asimamie matumizi ya ruzuku kwa maendeleo ya CDM...kama Makamu Mwenyekiti. ... akiweza hayo 2025 atapata kura yangu mapema asubuhi [emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
CAG wenu anasema no problem kwa matumizi ya Chadema, ila wewe kiazi ndio hutaki kukubaliana nae.
 
Hapo angeweka na kifungu cha katiba kinachotoa uhuru na haki kwa watu kuchagua na kuchaguliwa kuwa viongozi
 
Hayo ni maneno ya kipuuzi tu, yeye aseme akiingia madarakani tozo zipi atafuta? hizo kanuni huwekwa na halmashauri na madiwani wake atueleze katika halmashauri zilizokuwa chini ya chadema walifuta hizi tozo? vinginevyo ni porojo za kilevi tu, hivi ile sant Anne aliyonunua mlimani city ameshaimaliza? isijekuwa tunaongea na mlevi
Wewe ndio unaongea maneno ya kipuuzi. Halafu unaonekana una hasira hatari, sijui huna hela.
 
All people that elect corrupt politicians, impostors, thieves and traitors are not victims, but accomplices.
 
Ngoja niwaweke wazi watanzania kuhusu lisu ni ya kwamba anainterest zake binafsi na sio kwa ajili ya watanzania amebeba mahitaji ya mabeberu na hili linajidhihirisha pale anapo ongea mara zote hupenda kutumia kiingereza ili afikishe ujumbe kwa mabeberu kuwa amefikia wapi hivyo watanzania huyu hatufai kabisa hana dira ya mtanzania ya tanzania mpya na ya kisasa ambayo dereva wake ni magufuli.
 
Ngoja niwaweke wazi watanzania kuhusu lisu ni ya kwamba anainterest zake binafsi na sio kwa ajili ya watanzania amebeba mahitaji ya mabeberu na hili linajidhihirisha pale anapo ongea mara zote hupenda kutumia kiingereza ili afikishe ujumbe kwa mabeberu kuwa amefikia wapi hivyo watanzania huyu hatufai kabisa hana dira ya mtanzania ya tanzania mpya na ya kisasa ambayo dereva wake ni magufuli.
Wewe nani amekukataza usijue kiingereza, kama hukijui hilo ni swala lako sisi halituhusu.

Tunachotaka ni kuungamiza utawala wa kidikteta na uliyojaa dhuluma ili tuwe na utawala unaoheshimu utu na heshima kwa watu.
 
Back
Top Bottom