Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana

Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana

Ni kweli zama zile kulikuwa na upepo huo madingi wakienda mbele kusoma basi wanarudi na wake wa kizungu. Wazee walikuwa obsessed sana ngozi nyeupe zama zile. Ni ujiko yaani.
Wakizeeka sasa huatawataka😂😂
 
Lisu mnafiki mkubwa kilichompeleka hapo ni kujikomba kwa Maria sarungi

Kikwete alikuwa mple mno na aliwakaribisha hadi akina Lisu ikulu wakanywa hadi chai naye a

Lakini Lisu alichomlipa Kikwete ni matusi kuliko akiyotukana Mbowe

Na Lisu ndie alisababisha CCM imteue mgombea mkali kumzidi Magufuli ili kumdhibiti Lisu

CCM ikaona kwa siasa akina Lisu walikuwa wakiendesha hatakiwi tena mtu mpole kama Kikwete kushika uraisi

CCM ikaamua dawa ya moto ni moto ikaamua Magufuli apewe uraisi

Na kweli Lisu haji kusahau ubabe wa Magufuli alikimbia nchi mwenyewe kama mwehu

CCM ukileta siasa za kistaarabu watafanya siasa za usitaarabu ukileta za kibabe CCM ndio baba wa ubabe hutoboi

Kitapundua kila kitu kichwa chini miguumjuu kila eneo ndio maana kinaitwa chama cha Mapinduzi

..Magufuli alitumia silaha dhidi ya wapinzani jambo sio sahihi kabisa. Wapinzani wa Tanzania sio makundi ya magaidi au wanamgambo kuhalalisha kukabiliana nao kwa silaha.
 
Huyu ndo mama wa Maria?

1741549397040.png
 
Huyo hapo ndiye mama yake na Maria sarungi nauliza tu
Hapana. Mama yake maria aliachana muda na prof.

Pia punguza Umbea kwenye maisha binafsi ya watu ; ukishajua ni mama yake au sio itakusaidia nini?
 
Back
Top Bottom