Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana

Jambo jema.
 
Wanasiasa ni wanafiki sana, waone hawa!
 
Umeandika upuuzi.

Get your mind settled to bring sensible material.
 
Hapana. Mama yake maria aliachana muda na prof.

Pia punguza Umbea kwenye maisha binafsi ya watu ; ukishajua ni mama yake au sio itakusaidia nini?
Nilitaka kujua tu Wala SI Kwa umbeya asante lakini Kwa kunielewesha
 
Mzee kikwete ukimwangalia ,omeonesha furaha yote toka mwoyoni
 
Hivi huyu Erythrocyte kwanini huwa anamu-undermine sana Lisuu. Nyuzi zake zote anaanza kwa kuandika Tundu Lissu....!

Kumbuka Lissu ni Kiongozi na ana wadhifa. Huyu unapaswa kumuandika kama Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe/Ndugu Tundu Lissu.

Kama huyu ndiye mtendaji wa chama hiki wa mawasiliano, ame fail sana.
 
Huo ujinga huwa wanaelezwa manyumbu tu huku wanapigwa tone-tone. JK unamwelezaje ulafa kama huo? Na umweleze yeye akiwa kama nani?!!! Ameshajistaafia.
Nani kasema kastaafu? Huyu ndio anaempoteza Samia kusaini mikataba mibovu!! Sasa Hivi Wamesuka deal wanunue umeme toka Ethiopia πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Chadema tumekubaliana kutaja majina tu wala siyo Mheshimiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…