Pre GE2025 Tundu Lissu afukuzwe CHADEMA haraka

Pre GE2025 Tundu Lissu afukuzwe CHADEMA haraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Are you rational being??
your post is non sense, I can see lack of objectivity and particularlity 🤔🤔

Your personality, education status completely does not relating from what you have posted??

Hamna fact's, you come out with mere narrative, working on speculation,and drawing invalid conclusion.

Mara nyingi huwa najiuliza, hivi watu HUWA WANAENDA SHULE KUSOMEA UJINGA???

andiko kama hili hata mtoto wa kidato Cha pili hawezi kuandika USHUUZI kama huu.

Bro Respect yourself, THINK BIG 🤔🤔🚴🚴
Uandishi mzuri huonyesha usahihi wa fikra. Umefeli katika yote
 
Nimeona mchakato huu usipite bila kutoa neno japo dogo kwa kuanzia.

Kwa mambo aliyofanya na kusema mpaka sasa, kuna jambo moja pekee ambalo ni muafaka kwa Tundu Lissu nalo ni Kufukuzwa CHADEMA.

Kwetu sisi tunaomfahami hasa maisha yake nje ya media, tunajua kuwa ni Muongo na mjanjamjanja sana. Amedanganya kila kitu. Wakati anajua kila kilichotokea CHADEMA ikiwa ni pamoja na mambo ya kihalifu, Lissu hawezi kujitenga na upuuzi wa CHADEMA.

Kwa wasiokumbuka, Lissu alishabikia vitendo vya udhalilishaji alivyofanyiwa mkuu wa wilaya wa kike na wahuni wa CHADEMA. wakati huohuo alisimamia waziri mmoja wa leo (hakuwa waziri wakati ule) kutekwa Nyara na wahuni wa CHADEMA.

Lissu amesimamia maamuzi yote ya kuwafukuza na kuwaaibisha waliojaribu kugombea uenyekiti huko nyuma akiwa mwanasheria mkuu wa Chama akifikia kuwatuhumu kwa uhaini dhidi ya chama.

Ni yeye aliyetetea mafisadi wakubwa walipoanza kufikishwa mahakamani wakati ule na akageuka mtetezi wa mafisadi.

Lissu alihusika kuficha taarifa za wanachama kukituhumu chama kuhusika na ajali ya kada aliyekuwa amejipenyeza Chadema kikachero lakini wakamgundua na kumuwahi.

Naam, Lissu amekuwa katili na asiye na Roho ya utu hata kidogo. Alishangilia kifo cha Mwenyekiti wa CCM kilipotokea.

Binafsi sina maslahi na nani anaweza kuwa mwenyekiti. Mimi natamani Lissu naye sasa apitie kile ambacho yeye mwenyewe aliwapitisha wenziye. Afukuzwe uanachama wa Chadema haraka na bila huruma.
Mie kwangu naona mbowe ndo afukuzwe mkuu, huyu ni mpinga mabadiliko ya kweli ndani ya chadema
 
Uandishi mzuri huonyesha usahihi wa fikra. Umefeli katika yote
Hakuna nilicho fail, I gave you fact's, kitu kimoja, wewe ni mtu mzima, msomi haiba Yako na upumbavu unapoandika daima haviendani.
NJAA imekupiga unatafuta teuzi kama mlango wa kutokea!!😅😅🤣🤣 Shame on you!!
 
Uandishi mzuri huonyesha usahihi wa fikra. Umefeli katika yote
Naona umeamua kuweka akili mfukoni, umeshindwa kujibu chochote, umejibu kama lay man!!🤣🤣🤣😅🤣😅🚴 Hongera sana kwa kuchagua UJINGA
 
Back
Top Bottom