Pre GE2025 Tundu Lissu afukuzwe CHADEMA haraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uandishi mzuri huonyesha usahihi wa fikra. Umefeli katika yote
 
Mie kwangu naona mbowe ndo afukuzwe mkuu, huyu ni mpinga mabadiliko ya kweli ndani ya chadema
 
Uandishi mzuri huonyesha usahihi wa fikra. Umefeli katika yote
Hakuna nilicho fail, I gave you fact's, kitu kimoja, wewe ni mtu mzima, msomi haiba Yako na upumbavu unapoandika daima haviendani.
NJAA imekupiga unatafuta teuzi kama mlango wa kutokea!!πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£ Shame on you!!
 
Uandishi mzuri huonyesha usahihi wa fikra. Umefeli katika yote
Naona umeamua kuweka akili mfukoni, umeshindwa kujibu chochote, umejibu kama lay man!!πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ€£πŸ˜…πŸš΄ Hongera sana kwa kuchagua UJINGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…