Hamisi senga
Senior Member
- Sep 9, 2024
- 113
- 154
Hii ajenda hataiacha ndo itampatia kura za huruma mjanja sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaahHii ajenda hataiacha ndo itampatia kura za huruma mjanja sana!
Huyu wa sasa anaongea maneno ya kanga!Mbona Lowasa hakuwa muongeaji? Je alikubalika? Je, ni nani asiyeongea mno? Bora ya Lissu ambaye 'huongea mno' lakini huongea facts. Mbona rais wenu siyo tu anaongea mno bali anaongea hovyo lakini ndiye rais.
Duh。。。!Lissu afunguka kuhusu wasiojulikana wanaotaka kumdhuru.View attachment 3178825
Kama yapi? Maana wavivu wa kusikiliza facts utawajua tuHuyu wa sasa anaongea maneno ya kanga!
Tunawategemea ninyi investigative journalists mfanye kazi yenu!Duh。。。!
P
Mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao; Polisi wa CCM hawakosei shabaha; Kifo ni kifo tu nk.Kama yapi? Maana wavivu wa kusikiliza facts utawajua tu
issue ikiisha wahusu wale jamaa zetu, media haturuhusiwi kuwafanyia IJ!。Tunawategemea ninyi investigative journalists mfanye kazi yenu!
Mwigulu Nchemba na Makonda.Magufuli ameishakufa sasa tunasubiri kumjua nani yupo nyuma ya uovu huu hatimaye!
Ninachokupendea Lissu ni UWAZI!
Hongera kwa kuwa makini Sana katika ulinzi wako binafsi, mawasiliano ya Lissu ni WhatsApp na Signal Tu na sio simu!
Safari hii tutaona nani shetani kati ya Lissu na Mbowe.Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Ila Rais akitamka leo kuanzia leo mtu akitekwa na halafu mtekaji asipatikane IGP na mkurugenzi mkuu wa TISS, hawana kazi. Nakuhakikishia kuanzia siku hiyo hakutakuwa na utekaji, na utekaji ukitokea, mwezi hautapita bila ya watekaji kupatikana.Mkuu kuna watu chini ya mwamvuli Rais wanalinda maslahi yao! Hata wakati Kikwete waliteka na kuuua, rejea ya Ulimboka!
Halafu watu wanakuja humu kujitoa akiliMawaziri wale kwa urefu wa kamba zao; Polisi wa CCM hawakosei shabaha; Kifo ni kifo tu nk.
Ongeza nyingine!
Hawa wapumbavu niliwaambia wakaniona mpumbavu niliwaambia wasishangilie kifo cha jpm bila kujua walio nyuma ya kifo chake wakanikebei ...nikosa kubwa sana kuwaingiza wazanzibar serikali kuu kwa sababu tayari wao wamesha jinyakulia mamlaka kamili ya nchi yao ...muungano ni bosheni tuLissu afunguka kuhusu wasiojulikana wanaotaka kumdhuru.View attachment 3178825
Mwasisi wa maujinga yote haya ni jpm.Hawa wapumbavu niliwaambia wakaniona mpumbavu niliwaambia wasishangilie kifo cha jpm bila kujua walio nyuma ya kifo chake wakanikebei ...nikosa kubwa sana kuwaingiza wazanzibar serikali kuu kwa sababu tayari wao wamesha jinyakulia mamlaka kamili ya nchi yao ...muungano ni bosheni tu
Shetani ni Samia!Safari hii tutaona nani shetani kati ya Lissu na Mbowe.
Mengine yanafanywa na waliopewa majukumu,ama waliojifunza udhaifu wa mfumo unavyofanya kaziIla Rais akitamka leo kuanzia leo mtu akitekwa na halafu mtekaji asipatikane IGP na mkurugenzi mkuu wa TISS, hawana kazi. Nakuhakikishia kuanzia siku hiyo hakutakuwa na utekaji, na utekaji ukitokea, mwezi hautapita bila ya watekaji kupatikana.
Magufuli alitamka kuwa hataki kusikia mabasi yanashindwa kusafiri kwa sababu ya kuogopa kutekwa, mpaka leo mabasi yanasafiri masaa yote, uliwahi kysikoa basi au hata gari dogo limetekwa? Utekaji unaendelea kwa sababu Rais ametaka uendelee.
Anayooongea ni ya uongo;?Huko wakiamua huwa mara nyingi hawakosei.
Ila huyu banamdogo hawezi kubalika anaongea mno.