Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Mkuu, kitaalam yawezekana bila hata kuwahusisha.issue ikiisha wahusu wale jamaa zetu, media haturuhusiwi kuwafanyia IJ!。
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kitaalam yawezekana bila hata kuwahusisha.issue ikiisha wahusu wale jamaa zetu, media haturuhusiwi kuwafanyia IJ!。
P
Jpm alikuwa anajenga nchi na mzalendo....kuua siyo shida shida ni unaua kwa haki gani ? jpm alikuwa anapambana na wahalifu uwe ccm au uwe upinzani utajuta sasa hivi samia ana pambana na raia wema uwe ccm au uwe upinzani utajuta tofauti ya jpm na samia ni kama mbingu na ardhiMwasisi wa maujinga yote haya ni jpm.
Nashauri utaalamu huo kwenye media zetu bado hatuna!,IJ is to investigate kama polisi,huwezi kufanya IJ bila kuhoji, hawa jamaa zetu sio tuu wamejiwekea kinga ya kutohojiwa,bali pia wanakinga ya kutotajwa majina hata mahakamani utasikia shahidi X,Y,Z 。Mkuu, kitaalam yawezekana bila hata kuwahusisha.
Kwa Mzee Kibao hawakukoseaHuko wakiamua huwa mara nyingi hawakosei.
Ila huyu banamdogo hawezi kubalika anaongea mno.
niliwahi kuandika humuWakuu
Jana kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu ambaye pia ni Mgombea Uenyekiti wa Chama hicho, alisema watu wasiojulikana wanapanga njama za kumuumiza kisha wamsingizie Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.
Soma, Pia: Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
Kupitia Clouds Fm Lissu amefunguka kila kitu kuhusu taarifa hiyo.
View attachment 3178728
Kwa hili tishio la usalama wa Tundu Lissu aliloshikwa sikio kuwa kuna njama zinapangwa kumshughulikia Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!Wanabodi
Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa nchini kwetu, hii ni idara yetu ya Usalama wa Taifa, TISS.
Introduction ya Mada
Hii ni mada very serious and sensitive kwasababu inaijadili idara yetu nyeti ya TISS ambayo kutokana na unyeti wake issues za idara hii huwa hazijadiliwi hovyo hovyo, wazi wazi na openly na kwa uwazi, hivyo ukiona hadi watu tunaojinasibu humu kuwa ni wazalendo wa kweli wa taifa hili halafu tukajitokeza openly waziwazi humu kuijadili TISS huku tukitumia majina yetu halisi, huu ni uthibitisho kuwa tunaleta mjadala huu kwa nia njema kabisa kwa kusukumwa na uzalendo wa kulisaidia taifa letu pale idara yetu hii nyeti, inapochafuliwa kwa kusingiziwa tuhuma za uongo, bila uthibitisho wowote, lakini pia kama ni kweli TISS inahusika, na hawa 'wasiojulikana', then tukubaliane kuwa TISS itakuwa ni imechafuka na inahitaji kusafishwa, the sooner the better!.
Huwa wanakosea pia. Refer tukio la 2017Huko wakiamua huwa mara nyingi hawakosei.
Ila huyu banamdogo hawezi kubalika anaongea mno.
Ulinzi anauongezaje sasa??Wakuu
Jana kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu ambaye pia ni Mgombea Uenyekiti wa Chama hicho, alisema watu wasiojulikana wanapanga njama za kumuumiza kisha wamsingizie Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.
Soma, Pia: Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
Kupitia Clouds Fm Lissu amefunguka kila kitu kuhusu taarifa hiyo.
View attachment 3178728
AnajihamiHii ni kweli na hao ni CCM
Anasema ukweliAnajihami
Kwani walishawahi kumiss target ?Cha muhimu achukue tahadhari, this time they'll never miss the target.