Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!

Mwasisi wa maujinga yote haya ni jpm.
Jpm alikuwa anajenga nchi na mzalendo....kuua siyo shida shida ni unaua kwa haki gani ? jpm alikuwa anapambana na wahalifu uwe ccm au uwe upinzani utajuta sasa hivi samia ana pambana na raia wema uwe ccm au uwe upinzani utajuta tofauti ya jpm na samia ni kama mbingu na ardhi
 
Mkuu, kitaalam yawezekana bila hata kuwahusisha.
Nashauri utaalamu huo kwenye media zetu bado hatuna!,IJ is to investigate kama polisi,huwezi kufanya IJ bila kuhoji, hawa jamaa zetu sio tuu wamejiwekea kinga ya kutohojiwa,bali pia wanakinga ya kutotajwa majina hata mahakamani utasikia shahidi X,Y,Z 。

The only thing we can do ni mulika tuu kwa kuwa expose vitendo vyao viovu,na ukiwabana sana,hawachelewi kukupotezea!.
Nilipobandika bandiko hili humu TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! hawa jamaa zetu wali mind。。。!

Kuna wana tasnia wenzetu wengi,wamepotezwa Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...
P
 
niliwahi kuandika humu
Kwa hili tishio la usalama wa Tundu Lissu aliloshikwa sikio kuwa kuna njama zinapangwa kumshughulikia Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!
kama ni kweli njama hizo zilikuwepo ila sasa hazita tekelezwa tena kwasababu tayari zimeisha kuwa exposed

Then hoja za bandiko hili TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! bado zina sadifu!。
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…