kirengased JF-Expert Member Joined Jan 10, 2016 Posts 6,348 Reaction score 7,058 Jan 29, 2025 #21 goodluck5 said: Angekuwa anatukana mitusi angeshashitakiwa, acha umbea dada! Click to expand... Dada babaako!
goodluck5 said: Angekuwa anatukana mitusi angeshashitakiwa, acha umbea dada! Click to expand... Dada babaako!
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 15,133 Reaction score 11,914 Jan 29, 2025 #22 Bush Dokta said: Lissu hakurupuki.....hiyo Nafasi mpaka Intelijensia itakapomaliza Vetting ndipo nafasi itazibwa. Click to expand... Kama sio ya Bwana Amsterdam basi ni ya mkewe!
Bush Dokta said: Lissu hakurupuki.....hiyo Nafasi mpaka Intelijensia itakapomaliza Vetting ndipo nafasi itazibwa. Click to expand... Kama sio ya Bwana Amsterdam basi ni ya mkewe!
minyoo JF-Expert Member Joined May 25, 2013 Posts 22,405 Reaction score 21,100 Jan 29, 2025 #23 Yesu Anakuja said: mrema hatakiwi kupewa hata kazi ya kufagia tu. John Mrema. mkaanga sumu. Click to expand... Yupo Kileo ambaye huwamwagia watu Tindikali ni mkabila sana na sasa anamwandama Lema
Yesu Anakuja said: mrema hatakiwi kupewa hata kazi ya kufagia tu. John Mrema. mkaanga sumu. Click to expand... Yupo Kileo ambaye huwamwagia watu Tindikali ni mkabila sana na sasa anamwandama Lema
Scale JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 2,116 Reaction score 2,616 Jan 29, 2025 #24 Mtoto wa Shule said: Kama sio ya Bwana Amsterdam basi ni ya mkewe! Click to expand... Utakuwa na akili ya kuvukia barabara tu Wewe si bure!
Mtoto wa Shule said: Kama sio ya Bwana Amsterdam basi ni ya mkewe! Click to expand... Utakuwa na akili ya kuvukia barabara tu Wewe si bure!
minyoo JF-Expert Member Joined May 25, 2013 Posts 22,405 Reaction score 21,100 Jan 29, 2025 #25 Kileo mrema mdee Boniface Wilium mungai ni watu wa kuwachunga sana kwani bado wana vinyongo vikubwa na uongozi wa Lisu
Kileo mrema mdee Boniface Wilium mungai ni watu wa kuwachunga sana kwani bado wana vinyongo vikubwa na uongozi wa Lisu
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Jan 29, 2025 #26 Duh aiseee
Poppy Hatonn JF-Expert Member Joined Apr 9, 2021 Posts 3,095 Reaction score 4,632 Jan 30, 2025 #27 Hakuna consistency katika maneno ya Lissu. Alisema mjumbe wa sita atakuwa Mr. Justine Case. Kutoka nje ya Chama.
Hakuna consistency katika maneno ya Lissu. Alisema mjumbe wa sita atakuwa Mr. Justine Case. Kutoka nje ya Chama.
M m4cjb JF-Expert Member Joined Jul 23, 2012 Posts 8,457 Reaction score 3,033 Jan 30, 2025 #28 saigilomagema said: na hiyo nayo ni habari? Katafute habari za maana Click to expand... Leta yako ya maana
saigilomagema said: na hiyo nayo ni habari? Katafute habari za maana Click to expand... Leta yako ya maana