mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Tunashuhudia nyomi kwenye mikutano yake lakini hiyo nyomi haihusiani kabisa na mvuto wake kisiasa. Watu wanakuja kumtazama mtu aliyekuwa "amekufa" kisha "kufufuka". Biashara inaishia hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama zero brain ya miaka 5 iliyopita aliweza, basi yeyote anawezaTunashuhudia nyomi kwenye mikutano yake lakini hiyo nyomi haihusiani kabisa na mvuto waqke kisiasa. Watu wanakuja kumtazama mtu aliyekuwa "amekufa" kisha "kufufuka". Biashara inaishia hapo!!
Tunashuhudia nyomi kwenye mikutano yake lakini hiyo nyomi haihusiani kabisa na mvuto waqke kisiasa. Watu wanakuja kumtazama mtu aliyekuwa "amekufa" kisha "kufufuka". Biashara inaishia hapo!!
![]()
Sijawahi kuona Rais Kilemakama zero brain ya miaka 5 iliyopita aliweza, basi yeyote anaweza
Think deep, kuna vilema wa akili kama yule unayemshabikia. Afadhai kilema wa mguu wa kupigwa risasi!Sijawahi kuona Rais Kilema
Acheni hayo mambo bwashee!Think deep, kuna vilema wa akili kama yule unayemshabikia. Afadhai kilema wa mguu wa kupigwa risasi!
Sukuma Gang tulizeni vijambio,huu mpambano nyie hampo kabisa endeleeni tu kubweka bweka kama mbwakokoTunashuhudia nyomi kwenye mikutano yake lakini hiyo nyomi haihusiani kabisa na mvuto waqke kisiasa. Watu wanakuja kumtazama mtu aliyekuwa "amekufa" kisha "kufufuka". Biashara inaishia hapo!!
![]()
Haya subiri upate rais toka Ubelgiji!!Wewe ni mganga njozi uliyeingia mioyoni mwa watu wote wanaohudhuria mikutano ya Lissu na ukajua kutoka mioyoni mwao kuwa hicho unachodai ndio kusudi lao ??
KUNA NINI TENA RAFIKI?Acheni hayo mambo bwashee!
Hata agombeeudiwaniii haweziiii kushinda.Tunashuhudia nyomi kwenye mikutano yake lakini hiyo nyomi haihusiani kabisa na mvuto waqke kisiasa. Watu wanakuja kumtazama mtu aliyekuwa "amekufa" kisha "kufufuka". Biashara inaishia hapo!!
![]()
Haya subiri upate rais toka Ubelgiji!!
Wow!Upinzani kule Romania upo kwa hisani ya kitengo kurekebisha Viongozi Madarakani wanaokengeuka
Si mmeona Viongozi wakuu wa Kisiasa walipomiminika kwny Msiba wa Mwana kitengo Mkongwe
waliokimbia Nchi walikimbia kwa msaada wake
waliobaki walibaki kwa msaada wake
na hata waliovujishiwa siri za Serikali walivujishiwa kwa msaada wake
hata sasa Kaka yake Hayati Kitengo kagawa Makundi mawili vijana wake kila upande umepewa nguvu unataka shavu Rais Claus llohanis akiondoka na ili kuhakikisha kundi lingine haliibuki amewatengenezea Mgogoro feki ma yeye ndio mlezi wa makundi yote
Siasa ya Romania lazima uwe umekimbiza Mwenge CUBA kuilewa
Kwa hiyo unahofia atakuomba miguu yako aitumie?Sijawahi kuona Rais Kilema
Kama uzoefu aliowapa mabunge yaliyopita hawajautumia kikamilifu hawawezi kuelimika tena.Tunahitaji uwiano wa mawazo na mitazamo bungeni. Atawasaidia sana upande wa pili kutojisahau!
Unadhani(naamini unadhania tu)kwa nini?Lissu hawezi kuwa Rais, CCM ni wabaya kama mnavyosema lakini hawajafikia zero brain ya Kumpa LISSU urais. Bora hata mbowe