Upinzani kule Romania upo kwa hisani ya kitengo kurekebisha Viongozi Madarakani wanaokengeuka
Si mmeona Viongozi wakuu wa Kisiasa walipomiminika kwny Msiba wa Mwana kitengo Mkongwe
waliokimbia Nchi walikimbia kwa msaada wake
waliobaki walibaki kwa msaada wake
na hata waliovujishiwa siri za Serikali walivujishiwa kwa msaada wake
hata sasa Kaka yake Hayati Kitengo kagawa Makundi mawili vijana wake kila upande umepewa nguvu unataka shavu Rais Claus llohanis akiondoka na ili kuhakikisha kundi lingine haliibuki amewatengenezea Mgogoro feki ma yeye ndio mlezi wa makundi yote
Siasa ya Romania lazima uwe umekimbiza Mwenge CUBA kuilewa