Tundu Lissu agombee tu Ubunge, hiyo ndiyo saizi yake ili akachangamshe Bunge. Urais maji marefu kwake!

Tunashuhudia nyomi kwenye mikutano yake lakini hiyo nyomi haihusiani kabisa na mvuto wake kisiasa. Watu wanakuja kumtazama mtu aliyekuwa "amekufa" kisha "kufufuka". Biashara inaishia hapo!

binadamu hakosagi ya kuongea,hapo mnawadanganya wenye macho,halafu baadaye mnajifungia ndani mnaanza kupanga mbinu za kuiba kura kama mlivyomuibia Mzee rowasa?
 
Tunashuhudia nyomi kwenye mikutano yake lakini hiyo nyomi haihusiani kabisa na mvuto wake kisiasa. Watu wanakuja kumtazama mtu aliyekuwa "amekufa" kisha "kufufuka". Biashara inaishia hapo!

upeo mfupi wa kuchambua mambo.acha inyeshe tuone panapovuja.
 
Plan hizo zitafail.

Njia ya HAKI ya kulivusha Taifa letu ni KATIBA mpya pekee. RASIMU ya WARIOBA irudi mezani.

Mzee WARIOBA ATEULIWE TENA, mchakato uendelee.

Ikitokea CCM ikafa Ili Kuzaliwa TANZANIA mpya, pia ni jambo jema.
 
Plan hizo zitafail.

Njia ya HAKI ya kulivusha Taifa letu ni KATIBA mpya pekee. RASIMU ya WARIOBA irudi mezani.

Mzee WARIOBA ATEULIWE TENA, mchakato uendelee.

Ikitokea CCM ikafa Ili Kuzaliwa TANZANIA mpya, pia ni jambo jema.
hata KANU iliombewa ife ili Kenya Mpya izaliwe

Katiba mpya ikapatikana Kenya na KANU ikatokomezwa lakini sasa hivi wanaandamana wameshika mawe kutaka bei ya Unga ishuke
 
hata KANU iliombewa ife ili Kenya Mpya izaliwe

Katiba mpya ikapatikana Kenya na KANU ikatokomezwa lakini sasa hivi wanaandamana wameshika mawe kutaka bei ya Unga ishuke
Tanzania Si Kenya. Usilinganishe.
 
Ikiwa mtu kama Magufuli alikuwa rais, basi hakuna mtu asiyeweza kuwa Rais wa Tanzania kwa sasa.
Alishusha sana hadhi na heshima ya taasisi ya uRais.
 
Tunashuhudia nyomi kwenye mikutano yake lakini hiyo nyomi haihusiani kabisa na mvuto wake kisiasa. Watu wanakuja kumtazama mtu aliyekuwa "amekufa" kisha "kufufuka". Biashara inaishia hapo!

Sukuma Gang wacheni woga kila mtu ashinde mechi zake
 
kama zero brain ya miaka 5 iliyopita aliweza, basi yeyote anaweza
Acha yule, hata huyu wa sasa wanaweza kumuweka kwenye ligi moja na TAL katika uelewa?
Kamuacha mbali sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…