Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Bado anatafuta kura za huruma?
kibaraka wa mabeberu hapewi nchi na watanzania, hata asimulie mwanzo mwisho wa tukio lake mpaka anarudi.
Kura za huruma kivipi? Kwani watanzania ni wajinga kama wewe? Watanzania watampa kura kwa sababu hakujipiga risasi mwenyewe bali wewe na kikundi chako cha kishetani ndiyo mlimpiga risasi, CCM acheni kuwaita wanaume wenzenu mabeberu kwani nyinyi CCM ni mbuzi jike?
 

Mkuu kwani Lissu ndio msaliti na aliyekuwa ana tuhujumu?
 
Unauthibitisho wowote au ni bendera tu? Sisi ni wa JPM tu.



MAGUFULI4LIFE.
 
Kwani wewe bado tu hujamuelewa Jiwe?

Ni bingwa wa kutunga uwongo mchana kweupe!

Kwani wewe umejuaje kuwa aliyekuwa anaongelewa ni Lissu? Lakini kumbuka Lissu amekiri mwenyewe kuwa yeye ndiye alikuwa msaliti wa taifa
 

Kwani ni msaliti gani umeona akitaka kuuwawa kamanda? Kwani kuna msaliti alitaka kuuwawa?
 

Kwani ni msaliti gani alikuwa anaongelewa pale? Wewe unamjua msaliti wa taifa?
 

Mkuu kwani ni sisi ndio tumemlazimisha Lissu kujiita msaliti wa taifa?
 
Magufuli ni sehemu ya usaliti wakati mikataba ikipelekwa bungeni mwaka 1998 alikuwepo Bungeni hakusema chochote, lisu hakuwa wakili wao bali lisu alisimama kwenye ukweli baada ya kugundua kuwa magufuli kaingilia mikataba ili wazungu wampe Rushwa cha juu kabla ya kurekebisha mikataba ambayo ina mapungufu pia na bado kesi zinafukuta hazijaisha zitaibuka mda wowote kwani wazungu hawakulizika na kuwavurugia mikataba waliyopewa na mkapa kipindi hicho, wewe umemuua mkapa baada ya kulalamika ukaona anakupigia kelele.
 

Mkuu ni Lissu mwenyewe ndio amekiri kusaliti taifa na kulihujumu
 
Kwani ni msaliti gani alikuwa anaongelewa pale? Wewe unamjua msaliti wa taifa?
Wazungu waliletwa na CCM kuja kuchimba madini mikataba mibovu ulitengenezwa na CCM kama ni usaliti ni CCM ndiyo wasaliti kwa kuwaleta hao wazungu Nchini
 
CCM ndiyo wasaliti kwani ndiyo waliwaleta wazungu Nchini mwaka 1998
 
Aibu kubwa sana !
 
Kwa hiyo ni kweli magufuli ndo alipanga jaribio la mauaji ya Lissu??? Sema mwana CCM mwingine, sie tunakusanya ushahidi tu
kielelezo hiki hapa
 

Attachments

  • Subpost 2 - Connect dot's utaelewa tu... - NoHateNoFear - SasaBasi - TunduLissu2020 ( 264 X 48...mp4
    1.1 MB
Sasa kwanini akikuwa anasaliti nchi kwa kuwatetea?
Alisimama kwenye ukweli kuwa mbinu anazokwenda nazo zingeigharimu Taifa na ndipo magufuli akabadili mbinu akatumia njia zingine lakini nazo bado zina mapungufu makubwa ingawa watanzania wamefichwa vingi hakuna uwazi
 
Sasa kwanini akikuwa anasaliti nchi kwa kuwatetea?
Kwa iyo ni kweli kuwa Magufuli ndiye aliyeamuru Lissu kupigwa risasi????

Nafurahi sana wana CCM mnavyozidi kutupa ushahidi humu!!! Tunaweka rekodi sawa hapa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…